Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Soma Pia: Albert Chalamila: Sasa naunda task force kubwa itakayokuwa na silaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka nani aje kukulindia kuku na Tv zako😀😀Raia usiku tukeshe? DECGREE Unamaliza kwa kukesha halafu na mtaani pia ukeshe kulinda kukuku wako? Dah?
kiongozi ni kuwa na control si kubwabwaja unavyo jisikia.m
Fanyeni ulinzi shirikishi kulinda kuku na Tv zenu.Mentally he is sick? vibaka ndo hatari zaidi kwa raia
Kudhibiti maandamano ya upinzani pia ni jukumu la mkoa wake
CHADEMA haina watu wa kufanya maandamano maana watanzania wanafahamu kuwa ni chama cha kibabaishajiHapo asikie chadema wanafanya maandamano.
NdioKudhibiti maandamano ya upinzani pia ni jukumu la mkoa wake
Yaani hununui kitasa kizuri cha mlango nani akununulieUnataka nani aje kukulindia kuku na Tv zako😀😀
Mkiwa kamata wapelekeni polisi.Kwahiyo karuhusu wachomwe moto
Raha ya maisha yatakuwa yepi? Asubhi kazini usiku kukesha mitaani na panga na kisu?Unataka nani aje kukulindia kuku na Tv zako😀😀
Kwani wewe unataka nani aje akulindie Tv yako ulikolala? Kasema ukweliHuyu RC analazimisha kutumbuliwa. Mbona ana maneno sana?
kesho akija kusema hakueleweka vyema utakuja kusifu tenaKwani wewe unataka nani aje akulindie Tv yako ulikolala? Kasema ukweli
Ameeleweka vizuri sanakesho akija kusema hakueleweka vyema utakuja kusifu tena