Albert Chalamila: Mwizi Wa Tv, kuku wekeni Kwapani. Mkoa unashughulika na Majambazi

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Your browser is not able to display this video.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amewaeleza wananchi wa Segerea kuwa suala la vibaka lipo katika ngazi ya mitaa hivyo wahakikishe kupitia ulinzi shirikishi wanamaliza jambo hilo, kwani mkoa unashughulika na majambazi.

Soma Pia: Albert Chalamila: Sasa naunda task force kubwa itakayokuwa na silaha
 
Kwahiyo karuhusu wachomwe moto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…