Albert Chalamila: Tupo Tayari Kuwajibika Ikigundulika kuna uzembe uliofanyika kusababisha kupoteza Maisha kwa walioangukiwa na Jengo Kariakoo

Albert Chalamila: Tupo Tayari Kuwajibika Ikigundulika kuna uzembe uliofanyika kusababisha kupoteza Maisha kwa walioangukiwa na Jengo Kariakoo

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,



Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mheshimiwa Albert Chalamila akizungumza hivi leo.kuwa uongozi wa Mkoa upo Tayari kuwajibika Ikigundulika kuwa kuna uzembe umefanyika katika kuwaokoa wale waliokuwa wameangukiwa na jengo na hatimaye kupoteza Maisha.

Ameendelea kusema kuwa yeye anaamini ya kuwa juhudi kubwa zimefanyika katika kutekeleza wajibu wa kuwaokoa wale waliokuwa wamenasa chini baada ya kuangukiwa na jengo hilo.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Hakuna kifo chochote ambacho hakitokani na uzembe wa aina fulani mahali fulani labda cha uzee tu..., Which means vifo vyote vinaweza kuepukika (ukichunguza lazima huwa kuna mkono wa mtu sehemu ulikatisha maisha be it negligence au kufanya ndivyo sivyo)
 
Mungu wa mbinguni ndiye anayehukumu Kwa haki

Ila RC Chalamila utendaji wako Bora unafahamika kuanzia enzi zile za Shujaa Magufuli

Wewe na Waziri wa maafa mh Lukuvi Mungu wa mbinguni awabariki

Navalonge swela 🐼
 
Ndugu zangu Watanzania,

View attachment 3155364

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mheshimiwa Albert Chalamila akizungumza hivi leo.kuwa uongozi wa Mkoa upo Tayari kuwajibika Ikigundulika kuwa kuna uzembe umefanyika katika kuwaokoa wale waliokuwa wameangukiwa na jengo na hatimaye kupoteza Maisha.

Ameendelea kusema kuwa yeye anaamini ya kuwa juhudi kubwa zimefanyika katika kutekeleza wajibu wa kuwaokoa wale waliokuwa wamenasa chini baada ya kuangukiwa na jengo hilo.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Shahawa zilizokuzaa CHOKO wewe heri zingemwagwa chooni tu
 
Ndugu zangu Watanzania,

View attachment 3155364

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mheshimiwa Albert Chalamila akizungumza hivi leo.kuwa uongozi wa Mkoa upo Tayari kuwajibika Ikigundulika kuwa kuna uzembe umefanyika katika kuwaokoa wale waliokuwa wameangukiwa na jengo na hatimaye kupoteza Maisha.

Ameendelea kusema kuwa yeye anaamini ya kuwa juhudi kubwa zimefanyika katika kutekeleza wajibu wa kuwaokoa wale waliokuwa wamenasa chini baada ya kuangukiwa na jengo hilo.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Majengo 60+ kati ya 90 ni sub-standard. Tuanzie hapo kwanza kable janga lingine halijatokea.
 
Ah tunapozeana muda tuu. Sie watz maisha yetu simple sana hapa kinachotakiea tukubaliane na ile kauli yetu pendwa; "mipango ya mungu hiyo" siku yoa ilikuwa imefika basi tusisumbuane hapa. Sir nani wakupinga mipango ya mungu?
 
Ndugu zangu Watanzania,

View attachment 3155364

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mheshimiwa Albert Chalamila akizungumza hivi leo.kuwa uongozi wa Mkoa upo Tayari kuwajibika Ikigundulika kuwa kuna uzembe umefanyika katika kuwaokoa wale waliokuwa wameangukiwa na jengo na hatimaye kupoteza Maisha.

Ameendelea kusema kuwa yeye anaamini ya kuwa juhudi kubwa zimefanyika katika kutekeleza wajibu wa kuwaokoa wale waliokuwa wamenasa chini baada ya kuangukiwa na jengo hilo.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Umeeleza vizuri kwamba mkuu wa mkoa wa Dar,kasema kama kuna Uzembe wako tayari kuwajibishwa,mara Tena mama! Sikuelewi!
 
Ndugu zangu Watanzania,

View attachment 3155364

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mheshimiwa Albert Chalamila akizungumza hivi leo.kuwa uongozi wa Mkoa upo Tayari kuwajibika Ikigundulika kuwa kuna uzembe umefanyika katika kuwaokoa wale waliokuwa wameangukiwa na jengo na hatimaye kupoteza Maisha.

Ameendelea kusema kuwa yeye anaamini ya kuwa juhudi kubwa zimefanyika katika kutekeleza wajibu wa kuwaokoa wale waliokuwa wamenasa chini baada ya kuangukiwa na jengo hilo.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
kashajua sababu ni upumbafu wa mwenye jengo ndio maana anajimwambafai yupo tayari kuwajibika kumbe anajua hakuna lolote
 
Back
Top Bottom