Albert Einstein alipewa Urais Israel Akakataa

Albert Einstein alipewa Urais Israel Akakataa

tutafikatu

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2011
Posts
3,327
Reaction score
4,624
Mwaka 1952, Albert Einstein alipewa nafasi ya kuteuliwa kuwa Rais wa Israel lakini akakataa kwa hoja moja kwamba yeye ni mwanasayansi, asiyekuwa na uwezo wa kushughulika na watu (pamoja na umri kwenda mbali sana).

4358715695_7e1360e062_o(1).png
 
Mwaka 1952, Albert Einstein alipewa nafasi ya kuteuliwa kuwa Rais wa Israel lakini akakataa kwa hoja moja kwamba yeye ni mwanasayansi, asiyekuwa na uwezo wa kushughulika na watu (pamoja na umri kwenda mbali sana).

4358715695_7e1360e062_o(1).png

Politics is more difficult than physics-Albert Einstein.
 
Back
Top Bottom