Albert Einstein alipewa Urais Israel Akakataa

tutafikatu

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2011
Posts
3,327
Reaction score
4,624
Mwaka 1952, Albert Einstein alipewa nafasi ya kuteuliwa kuwa Rais wa Israel lakini akakataa kwa hoja moja kwamba yeye ni mwanasayansi, asiyekuwa na uwezo wa kushughulika na watu (pamoja na umri kwenda mbali sana).

 
Mwaka 1952, Albert Einstein alipewa nafasi ya kuteuliwa kuwa Rais wa Israel lakini akakataa kwa hoja moja kwamba yeye ni mwanasayansi, asiyekuwa na uwezo wa kushughulika na watu (pamoja na umri kwenda mbali sana).


Politics is more difficult than physics-Albert Einstein.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…