Albert Mangwair, Rapper aliyekuwa mbele ya muda

Albert Mangwair, Rapper aliyekuwa mbele ya muda

central midfielder

Senior Member
Joined
Apr 14, 2023
Posts
146
Reaction score
215
Wanasema Albert Mangwair alikuwa rapper ambaye alikuwa mbele ya muda.

Hawajawahi kuacha kusema kila linapokuja suala la mbele ya muda kwenye mziki, Ngwair anazungumziwa sana.

Naombeni tujadili hapa na sisi wengine tupate faida. Ni kwa namna gani Ngwair alikuwa mbele ya muda? Tunaweza kupata mistari mingi kutoka nyimbo zake zenye asilimia 100 kwamba alikuwa mbele ya muda? Au hii imekaaje?

Sio kwa ubaya, tupate faida wengine ambao hatujui.

R.I.P Freestyle king Cowbama

Karibuni wadau.

#forgiveme
 
Ngwea alimzaa Godzilla na Godzilla alimzaa Bilnass na Bilnass alimzaa Kontowa ambaye ndo rap bora na stylish bora anayechipukia kizaz hiki na tuzo juu.

So Albert Magwea bado anaishi bado tutaendelea kumsikiliza kupitia roho za marapa wapyaaa wengi............
R.I.p legendary Albert Magwea
 
Kuna ukweli flan kwasababu kiswahili alichokitumia kwenye mashairi yake na ukilinganisha cha leo 2023 utaona aliku ahead sana ya kiswahili Kiko current Sana pengine hata kwa miaka 50 ijayo kikawa cha kijanja sikiliza dk 0,cnn na kimya kimya utaelewa nin namanisha
 
Kama hii ngoma yake ya CNN jamaa alinikosha sana

Basi toa code someka,
wapi lipo bata wapi leo kinaeleweka, napesa mingi mpaka natamani jiteka
then watu wapo king.ston ka Jamaica
ni ma model, madodo waku roll na ma Gangasta
Divas and Hustlers, Paper Chasers!
Nani anaeza piga ngoma kali ka hii???... me!
Nani anaeza gonga beat nzito ka hii?? ... P!
Yeah you know that ni Bongo Records true na Q east zoo tu juu au si skii
Usipime hizi records ,ziko heavy place nothin above it man, you gotta love it man!
Leo ni mwendo wa gambe tu na Malavidavi na warembo wakali matata ka Flavi.. (what?)
Tunapata zetu couple of rounds then ..yeah.. we outta of the town!
 
watu wana dough, yo mpaka soo
na bado daily wanaget more
kwa mishe na kali flows!
watoto wa mama wana blow
dada zao they cursey curvy
wataka tuwe wao baby daddys
wapate... ya ki gangsta ki hardcore!
tukikesha kama CNN

Kwa kukesha na kula bata, tuko so allergic
kwa watoto wa geti kali, we are so magnetic
Mapedeshee wanapigwa tu mitama counter
si tunazidi chafua bedsheets za mama zao
tunajikinga japo wanamaindi kuzaa na si
wanathamani ya Diamond na tunawabeba for free
issue zote unasimamia playboy anaunderstand
na leo kesho akizingua unatake her bestfriend
 
Kama hii ngoma yake ya CNN jamaa alinikosha sana

Bastola cash and.. toa code someka
wapi lipo bata wapi leo kinaeleweka, napesa mingi mpaka natamani jiteka
then watu wapo king.ston ka Jamaica
ni ma model, madodo waku roll na ma Gangasta
Divas and Hustlers, Paper Chasers!
Nani anaeza piga ngoma kali ka hii???... me!
Nani anaeza gonga beat nzito ka hii?? ... P!
Yeah you know that ni Bongo Records true na Q east zoo tu juu au si skii
Usipime hizi records ,ziko heavy place nothin above it man, you gotta love it man!
Leo ni mwendo wa gambe tu na Malavidavi na warembo wakali matata ka Flavi.. (what?)
Tunapata zetu couple of rounds then ..yeah.. we outta of the town!
Basi Toa location Toa Code someka


Hakuna mahali alitaja bastola
 
Mimi nazitafuta sana ngoma zake ila bado sizipati aliyenayo hata moja aweke hapa niipakue au anitumie kwenye barua pepe yangu. Erlidjei9@gmail.com [emoji1441] Nipo Lushoto [emoji1241]
 
Back
Top Bottom