central midfielder
Senior Member
- Apr 14, 2023
- 146
- 215
@mama D kumbe na wewe ni mdau? Au niache longolongo niseme nina shilling ngapiNgweair
@mama D kumbe na wewe ni mdau? Au niache longolongo niseme nina shilling ngapi
Basi Toa location Toa Code somekaKama hii ngoma yake ya CNN jamaa alinikosha sana
Bastola cash and.. toa code someka
wapi lipo bata wapi leo kinaeleweka, napesa mingi mpaka natamani jiteka
then watu wapo king.ston ka Jamaica
ni ma model, madodo waku roll na ma Gangasta
Divas and Hustlers, Paper Chasers!
Nani anaeza piga ngoma kali ka hii???... me!
Nani anaeza gonga beat nzito ka hii?? ... P!
Yeah you know that ni Bongo Records true na Q east zoo tu juu au si skii
Usipime hizi records ,ziko heavy place nothin above it man, you gotta love it man!
Leo ni mwendo wa gambe tu na Malavidavi na warembo wakali matata ka Flavi.. (what?)
Tunapata zetu couple of rounds then ..yeah.. we outta of the town!
Ok mi nimeicopy n kupaste kutoka googleBasi Toa location Toa Code someka
Hakuna mahali alitaja bastola
Jamaa flows zake alikuwa hatumii nguvu halafu swaggz 💯Udongo unatafuna vitu vizuri
Kimya kimya kuna pahali anasema kupima oil ili kujua bwawa au kisima na kama imekaa poa ni mikasi kimya kimyaMpaka sasa hajapatikana wa kumrithi Ngwair
YouTube hupafahamu achana na huko pia kwa vijana wa Library hupajui basi hata kugoogle kunakushinda..Mimi nazitafuta sana ngoma zake ila bado sizipati aliyenayo hata moja aweke hapa niipakue au anitumie kwenye barua pepe yangu. Erlidjei9@gmail.com [emoji1441] Nipo Lushoto [emoji1241]