Albert Mangwea (Special Thread)

Mi mwenyewe naenda club kila wiki

Siotu kwamba ninafata mziki

Mkiwa wachache mi naona hapalipi

Hata niwe na hela vipi na rundo la marafiki

Vijijini asilimia tisini maskini starehe yao ni pombe na nyinyi

Sasa mpaka lini mtakuwa mnadharaulika na kunyanyasika au nyie wenyewe mmeridhika

Kuolewa mna haki wala msiite bahati nyie mnadhani wanangu mi ntalea nani

Sema tu wengi wenu ni vi.......

Daaaah! Cowbama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…