Album bora ya muda wote ya kundi la hiphop TZ- Wachuja nafaka(wachuja nafaka)

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Nadhani toka nchi ya Tanzania Imezaliwa mwaka 1961 hakujawahi kutokea album Kali ya Kundi la Hip hop Kama ile iliyokuwa na vichwa vitatu waliotengeneza Kundi linaitwa wachuja nafaka lakini pía walitengeneza album inayoitwa wachuja nafaka ilokuwa na nyimbo zifuatazo,

1.Wachuja nafaka
2.Mzee wa Busca
3.Ya Leo Kali
4. Radhia
5. Tunafanya kazi
6.Mzee busara rmx
7......
8......
9. Kamua Babá, hii haikuwa ktk album

Kundi hili lilikuwa na Juma, kr , dollo na d chief.
Sijui album nyingine za makundi, labda daz nundaz kidogo
 
Nyimbo zote ulizozitaja zote Kali. Ila Ya Leo Kali ,ndio naikubali naukumbuka mstari wa Nature, anakwambia "tembea kwa mwendo wa fedha,nchi ishauzwa hii.."
 
Mliocomment hapo juu katafuteni Album ya Daz Baba-Elimu Dunia msikilize nyimbo zote then ndio muandike mnachotaka kuandika.

Hapo sijataja Starehe ya Feruzi na a.k.a Mimi ya Ngwair!!

NB- Respect kwa P-Funk Majani!!
 
Mtu kasema kabisa "Album bora ya kundi la hip hop". Hajaongelea solo artist, aiseeee.
 
Hard blasters (nigga jay, fanani na big willy) album iliitwa funga kazi. Ilikuwa ya moto kweli kweli tafuta usikilize. Kulikuwa na nyimbo kali kama
1. Chemsha bongo
2. Funga kazi
3. Ma msap
 
Vishawishi vimemponza mpaka kafanya msala....

Ni mzee ambae tunaishi nae kwenye Nyumba za kupanga
 
Anakwenda pale Mohamedi Hussein goooooooooooooooooooo!!! Kumbe masikini mpira Upo kati!!!
 
Hard blasters (nigga jay, fanani na big willy) album iliitwa funga kazi. Ilikuwa ya moto kweli kweli tafuta usikilize. Kulikuwa na nyimbo kali kama
1. Chemsha bongo
2. Funga kazi
3. Ma msap

Hizo nyimbo ya kwanza na yatatu ni za prof jay, na zipo álbum yake ya kwanza
 
Mliocomment hapo juu katafuteni Album ya Daz Baba-Elimu Dunia msikilize nyimbo zote then ndio muandike mnachotaka kuandika.

Hapo sijataja Starehe ya Feruzi na a.k.a Mimi ya Ngwair!!

NB- Respect kwa P-Funk Majani!!
Nikweli zipo nyingi kali ila nahisi uzi unataka album za kundi sio msanii binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…