Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
HV Bado anatumia madawa ya kulevya Imekuaje hiyu mtu kaja kufilisikia Kia's hiki wakt kipind Anaanza kuimba ndio alikuwaa kinaraaaa Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
HV Bado anatumia madawa ya kulevya Imekuaje hiyu mtu kaja kufilisikia Kia's hiki wakt kipind Anaanza kuimba ndio alikuwaa kinaraaaa Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
😁HV Bado anatumia madawa ya kulevya
Imekuaje hiyu mtu kaja kufilisikia Kia's hiki wakt kipind Anaanza kuimba ndio alikuwaa kinaraaaa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Namuona mwanamama wetu mkongwe kwenye ubora wake[emoji16]. Hivi huyu mama ana umri gani?
Album inaitwa Secret Agenda.
Sema Rose kadumu Sana nakumbuka ile nyimbo nipe uvumilivu zaman Sana ile nyimboHuyu dada alivaa vizuri viatu vya marehemu angel chibalanza wa kenya
Yeye ndiye malikia wa nyimbo za injili africa mashariki na Kati
Ukienda kenya,rwanda burundi uganda congo vibao vyake vinachezwa sana
Sema Rose kadumu Sana nakumbuka ile nyimbo nipe uvumilivu zaman Sana ile nyimbo