Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Tulipitia mabadiliko katika pesa ya kikokotoo.
TRA akawa msiba wa samaki katika koo kwenye biashara zetu.
Speaker alivyotaharuki baadaya Zitto kuzuia mkopo wa elimu usije Tanzania.
Bunge letu lilikosa meno kabisa.
Serikali ya CCM na ripoti ya CAG hatimae CAG aliachia ofisi.