Album ya Tanzania ndani ya awamu ya tano 2015-2020

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011








Tulipitia mabadiliko katika pesa ya kikokotoo.

TRA akawa msiba wa samaki katika koo kwenye biashara zetu.

Speaker alivyotaharuki baadaya Zitto kuzuia mkopo wa elimu usije Tanzania.

Bunge letu lilikosa meno kabisa.

Serikali ya CCM na ripoti ya CAG hatimae CAG aliachia ofisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…