Album ya unanitega ya Mwana FA

Deo Corleone

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2011
Posts
17,006
Reaction score
13,281
Wadau wapi ntapata hzi nyimbo znazopatikana kwny album ya unanitega ya fa .maana nimechek waptrick nimekosa
verse moja feat dudu
mtoto wa mama ft unique sisterz
siendi club ft jmo
siku hazfanani ft zahir zoro
kuna nyingne aliimba na prezoo na colo
 
Umenkumbusha mbali sana moja ya best album za hip hop tz
 
umenkumbusha mbali sana moja ya best album za hip hop tz

noma sana ikifuatiwa na a.k.a mimi ya ngwair.nilikua nayo kwenye tape mwaka 2009 nimetafuta madukani nimekosa,na kule waptrick zpo chache tu
 
Ngoja nikamuulize twitter jamaa alitisha sana anakuambia naonekana mtoto wa mama,ukinitazama.anakuambia kama jua na kiangazi siku hazifanani.Kipindi kile alikuwa mwanafalsafa kweli sio wa sasa bila kukunjagoti.
 
Wadau wapi ntapata hzi nyimbo znazopatikana kwny album ya unanitega ya fa .maana nimechek waptrick nimekosa
verse moja feat dudu
mtoto wa mama ft unique sisterz
siendi club ft jmo
siku hazfanani ft zahir zoro
kuna nyingne aliimba na prezoo na colo
nilikuwa nazo aisee ilikuwa balaa
 
Ngoja nikamuulize twitter jamaa alitisha sana anakuambia naonekana mtoto wa mama,ukinitazama.anakuambia kama jua na kiangazi siku hazifanani.Kipindi kile alikuwa mwanafalsafa kweli sio wa sasa bila kukunjagoti.
Nammiss F.A wa zamani.
ngoma ya mwisho kuielewa toka kwake ni Binamu
 
Nenda youtube,andika nyimbo kali 100 za kibongo utaziona
 
Me naomba mwenye wimbo wa SITOAMKA JD na FA walikuwa wanatengeneza best colable.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…