Alcatraz: Gereza la kihistoria la 'watukufu' wa uhalifu

ndo maana nasemaga hawa wakulu wasijidai na maulinzi ya watu lukuki kuna vichwa vikiamuaga haina kufeli
 
Reactions: SDG
Aghhh! Nilijua ni king the bold ndo anashusha nondo kumbe sio. Soma menyewe
 
Asante Mkuu duh niliona Gereza la namba hii kwenye Movie moja ya Jason Statham sijui inaitwaje ile
Huyu mtu anajiita Jason Statham ni noma aisee..hua movie zake ziko poa sana
 
big up sana mkuu naona unafuata nyayo ya the bold big up sana tunakusapoti endelea na kzi ukifanikiwa kupata nyengine tuwekeeeee basi afu usisahau kuni tag
 
Nasikitika sana kama mtu anaweza kumfanyia hiv mtanzania mwenzake,ifike wakati tutambue na kuheshimu kuhangaika kwa wenzetu hii Makara no kopy and pest toka kwa the bold.plz so ishu kupata kitu kupitia jasho la mwenzako hiv hiv
 
Nasikitika sana kama mtu anaweza kumfanyia hiv mtanzania mwenzake,ifike wakati tutambue na kuheshimu kuhangaika kwa wenzetu hii Makara no kopy and pest toka kwa the bold.plz so ishu kupata kitu kupitia jasho la mwenzako hiv hiv
Ni ya jamaa mmoja wa Facebook anajua sana nahisi na hii ni yake,
 
Mimi ni moja ya watu niniojua imetoka wapi bila kupepesa macho hii ni ya the bold
Sema siruhusiw kutaja jina la mtu hapa, nenda fb group la uwanja wa siasa uone jamaa anavyo chora maneno kila siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…