Alcohol drinkers special thread

LEMUTU ZEEEE NDANI YA ESCAPE PARTY



Swissme
 
Kuna siku nilipiga brand za beer zote mmmhmmm kilichonikuta nimeamka saa sita mchana nahamakiiiii eti nina laki nne mfukoni. Nikaenda zanguuu Hollycross kula wine ya kupima.
 
Kuna siku nilipiga brand za beer zote mmmhmmm kilichonikuta nimeamka saa sita mchana nahamakiiiii eti nina laki nne mfukoni. Nikaenda zanguuu Hollycross kula wine ya kupima.
hahahahahaa hatari sana
 
Kitu safari bana. Eti Ladha kamili, inayoridhisha zaidii. Safiii sana. Hapa ofisi nikikata kona tuuu nakutana na bango la castle lager kiukweli napata muuunkaliii wa kupiga kazi hatarii.
Juzikati sisteri wangu alikuja kunisabahi nikamnunulia safari zakutosha na chairfire make namjua vizuri mambo yake jamani jamani aliongea aliongea mpaka nikaomba poo.. Story haziishi
Tatizo la safari lager hangover yake ni balaa tu, yani mtu asubuhi unakua mnyonge mno na miguu hupoteza mawasiliano, anagalau k_vant sionagi nachoka asubuhi

Asubuhi sasa eti anaumwa hana hata nguvu namwambia kwahiyo unaenda hospitali anasema hapana nipe kwanza nilizobakiza jana usiku niangalie hali..mtu ana hangover anataka kuzimua tena doh!!



Cc Smart911
 
Kale katangazo ka safari lager mmasai anakanyaga kisoda nani anako?
 
Tatizo la safari lager hangover yake ni balaa tu, yani mtu asubuhi unakua mnyonge mno na miguu hupoteza mawasiliano, anagalau k_vant sionagi nachoka asubuhi
hahaha ss tabu zote hizo za nn!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…