Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,210
Wana JF, najua hii si habari mpya kwenu. Lakini ningependa kuwafahamisha wale wanaotembelea JF mara moja moja, inaonekana hivi sasa kuna desperate attempts kutoka kwenye upande wa mafisadi, za kuleta distraction na kuonesha kuwa kuna mgongano kwenye kambi ya watanzania safi wanaofunua maovu ya mafisadi.
Alama zote za msumari wa mwisho kwenye jeneza zinaonekana, na mafisadi sasa wanatumia njia ya kuleta confusion na distraction ili ku-divert attention ya issue nzima ya ufisadi, na kuleta kitu kama mkoroganyo na kutoelewana ndani ya CCM, ndani ya upinzani na hata kujaribu kufanya umeme badala ya ufisadi kuwa ndio issue.
Juzijuzi tumeanza kusikia sauti za wadhaifu na wajinga kutoka ndani ya CCM kujaribu kuwasemea mafisadi, na tumeanza kunusa kitu kama kupenya kwa rupia ndani ya upinzani, na kitu kama kupenya kwa rupia ndani ya media na media kuanza kuwa kama kipofu. Hali hii ambayo haitafanikiwa, inaonesha kuwa kuna desperate move ya mafisadi kuelea 2010 na kujaribu kufika Kisutu.
Tusikubali distraction, tatizo letu ni ufisadi, Hilo ndio linatufanya tuishi kwa taabu na tuonekane kama nchi ya wajinga, na tuonekane kama watu cheap ambao tunaweza kununulika kirahisi.
TUSIPOTOSHWE, na tuwakumbushe wengine kuwa hii ni janja tu.
Alama zote za msumari wa mwisho kwenye jeneza zinaonekana, na mafisadi sasa wanatumia njia ya kuleta confusion na distraction ili ku-divert attention ya issue nzima ya ufisadi, na kuleta kitu kama mkoroganyo na kutoelewana ndani ya CCM, ndani ya upinzani na hata kujaribu kufanya umeme badala ya ufisadi kuwa ndio issue.
Juzijuzi tumeanza kusikia sauti za wadhaifu na wajinga kutoka ndani ya CCM kujaribu kuwasemea mafisadi, na tumeanza kunusa kitu kama kupenya kwa rupia ndani ya upinzani, na kitu kama kupenya kwa rupia ndani ya media na media kuanza kuwa kama kipofu. Hali hii ambayo haitafanikiwa, inaonesha kuwa kuna desperate move ya mafisadi kuelea 2010 na kujaribu kufika Kisutu.
Tusikubali distraction, tatizo letu ni ufisadi, Hilo ndio linatufanya tuishi kwa taabu na tuonekane kama nchi ya wajinga, na tuonekane kama watu cheap ambao tunaweza kununulika kirahisi.
TUSIPOTOSHWE, na tuwakumbushe wengine kuwa hii ni janja tu.