Alert: Walimu ngazi ya cheti wana haki ya kuripoti kuanzia kesho.

stanb

Senior Member
Joined
Feb 19, 2014
Posts
153
Reaction score
19
wale wengine tuendelele kuvuta subira kutokana na kusitishwa kwa orodha yetu. Tafadhali msiwe na haraka hadi marekebirho yakamilike. Huu ni mtazamo wa wangu kwa sababu tamisemi haijaweka wazi suala hili.
 
wale wengine tuendelele kuvuta subira kutokana na kusitishwa kwa orodha yetu. Tafadhali msiwe na haraka hadi marekebirho yakamilike. Huu ni mtazamo wa wangu kwa sababu tamisemi haijaweka wazi suala hili.

we nae acha kuvuruga watu! Wewe unakuja na mitazamo yako wakati wenzio wameenda hadi tamisemi wakapewa majibu ya uhakika! Uwe unapitia thread za wenzio sio unakurupuka tu usingizini unaanzisha thread!

Panda kitandani ulale hapajakucha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…