Ya kwake yanamshinda atayaweza ya Simba?Yeye ni mchambuzi so anawasaidia kufanya marekebisho
Kumbuka huyo ni mikia mwenzio, hivyo heshimu maoni yakeMwambie hatutaki maoni yake...
Atajijua....Kumbuka huyo ni mikia mwenzio, hivyo heshimu maoni yake
Mengi tuu..Yapi yamemshinda ???
Yuko Certified na mamlaka gani kuwa mchambuzi,vinginevyo unabaki kuwa umbea labda akachambue Karanga😂Yeye ni mchambuzi so anawasaidia kufanya marekebisho
Mwambie hatutaki maoni yake...
Ahahaha ila wee na Simba huambiwi kitu unaweza kuacha kunyonyesha ili ukomentiMwambie hatutaki maoni yake...
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 hapo pa kuacha kunyonyesha umenichekesha sana..au upo busy na kukoment kumbe nyonyo imeingia puani...acha tuu Mungu atusamehe...Ahahaha ila wee na Simba huambiwi kitu unaweza kuacha kunyonyesha ili ukomenti
😆😆nimekua addicted...ila soon nitaachaWewe tenaa!,ningeshangaa usingekomenti!😛
Hata iweje....siwezi kuoa mwanamke anayeshabikia mpira .....hata kama tupo timu Moja[emoji23][emoji23][emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] hapo pa kuacha kunyonyesha umenichekesha sana..au upo busy na kukoment kumbe nyonyo imeingia puani...acha tuu Mungu atusamehe...