Alex wa BBA Stargame apata ajali mbaya ya gari

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304


Aliyekuwa mwakilishi wa Kenya kwenye shindano la Big Brother Africa Stargame Alex Mgash jana amepata ajali mbaya ya gari.

Kwa mujibu wa pacha wake, Malonza, Alex alikuwa akisafiri kwenye gari na marafiki zake watatu mapema jana asubuhi kabla ya gari lao kupata ajali hiyo likiwa kwenye mwendo kasi.
Alex alipelekwa hospitali ya St. Johns. Miongoni mwa matibabu atakayoyapata ni pamoja na kufanyiwa upasuaji wa mguu na shingo ambayo imeteguka.
Source: ghafla.co.ke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…