wenye jukumu la kufuatilia jambo hili ni Jeshi la Polisi ili haki ipatikane.Kama kuna waandishi humu ndani wafuatilie hilo tukio huenda ukweli ukajulikana na roho za marehemu kupata justice yao.
Hmeandika kama vile ulikuwa unawakimbia askari, walifia nyumbani au hospitali na walikuwa wakiishi vipi, kila mmoja na kwake au pamoja? Ndugu zao walichukua jukumu gani kama vile kutaka uchunguzi wa kidaktari au kipolisi?Tukio hili limetokea Yombo jijini Dar Es Salaam siku mbili zilizo pita. Inasemekana waliugulia tumbo na kupelekea mauti yao.
Hakuna taarifa yoyote kama kuna uchunguzi wowote ulio fanyika.
Upo uwezekano mkubwa kwamba vijana hawa walinyweshwa sumu.
Kama kuna waandishi humu ndani wafuatilie hilo tukio huenda ukweli ukajulikana na roho za marehemu kupata justice yao.
Walikuwa wanaishi Yombo Vituka mtaa wa Magogoni.
May their souls rest in peace
Waislamu hao wazee wa kutupiana MajiniTukio hili limetokea Yombo jijini Dar Es Salaam siku mbili zilizo pita. Inasemekana waliugulia tumbo na kupelekea mauti yao.
Hakuna taarifa yoyote kama kuna uchunguzi wowote ulio fanyika.
Upo uwezekano mkubwa kwamba vijana hawa walinyweshwa sumu.
Kama kuna waandishi humu ndani wafuatilie hilo tukio huenda ukweli ukajulikana na roho za marehemu kupata justice yao.
Walikuwa wanaishi Yombo Vituka mtaa wa Magogoni.
May their souls rest in peace
Mostly mambo ya DNA.. Uchunguzi ufanyike kabla ya mazishiTukio hili limetokea Yombo jijini Dar Es Salaam siku mbili zilizo pita. Inasemekana waliugulia tumbo na kupelekea mauti yao.
Hakuna taarifa yoyote kama kuna uchunguzi wowote ulio fanyika.
Upo uwezekano mkubwa kwamba vijana hawa walinyweshwa sumu.
Kama kuna waandishi humu ndani wafuatilie hilo tukio huenda ukweli ukajulikana na roho za marehemu kupata justice yao.
Walikuwa wanaishi Yombo Vituka mtaa wa Magogoni.
May their souls rest in peace
Nimeikuta facebook mkuu hakukuwa na information za kutoshaHmeandika kama vile ulikuwa unawakimbia askari, walifia nyumbani au hospitali na walikuwa wakiishi vipi, kila mmoja na kwake au pamoja? Ndugu zao walichukua jukumu gani kama vile kutaka uchunguzi wa kidaktari au kipolisi?
POLENI WOTE NDUGU NA MARAFIKI.
Ulitakiwa utuambie kwa mujibu wa facebook.Nimeikuta facebook mkuu hakukuwa na information za kutosha
Hata tiktok pia walikuwepo ndo hawa hawa.hawa vijana kama nishawahi kuwaona kule insta wakifanya comedy....au nimewafananisha?.
roho zao zipumzike mahala pema peponi.
Kanisani na msikitini wapi kuna majini?