Alfred Mutua aongoza wakenya mitandaoni kuuponda JKIA, wataka Kenya kujifunza toka Tanzania

Alfred Mutua aongoza wakenya mitandaoni kuuponda JKIA, wataka Kenya kujifunza toka Tanzania

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
Kama tulivyosema siku za nyuma kwamba Tanzania ni " role model " katika ukanda huu, karibuni majirani kuja kujifunza mambo mbalimbali.

Wakenya kwenye mtandao wamechemka baada ya mvua inayoendelea kunyesha humu nchini kufichua ubovu wa uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta (JKIA).

Hayo yalijiri baada ya kanda kuibuka mtandaoni ikionyesha wateja wakinyeshewa wakati wa kuabiri ndege katika uwanja huo.
Video hiyo ilichapishwa kwenye mtandao na mwanaharakati Boniface Mwangi na kuuliza maswali kuhusu ujenzi wa JKIA.

Mwangi alikashifu kisa hicho na kusema uwanja huo wa ndege umejengwa kama zizi la ng'ombe.

Ni video ambayo ilileta mjadala mtandaoni huku Wakenya wakihoji kuhusu mamilioni yaliyotumika kwenye ujenzi huo.

Baadhi ya waliochangia walisema Kenya itapoteza umaarufu wake kutokana na utepetevu unaoshuhudiwa katika sekta mbali mbali.
Ni hali ambayo huenda ikachafua picha ya uwanja huo wa ndege kwenye rubaa za kimataifa nakuushukisha ngazi licha ya kuwa umewekwa katika orodha moja na viwanja vingine maarufu duniani

Kisa hicho kinajiri tu baada ya uwanja huo kuangaziwa hivi maajuzi baada ya mwili wa jamaa mmoja kuanguka kutoka alipokuwa amejificha chini ya ndege iliyokuwa imetoka JKIA kuelekea Uingereza.
 
Sijasikia waliposema wajifunze toka Tanzania after all hata huo wetu unavuja sasa cjui watajifunza expansion joint?
 
Sijasikia waliposema wajifunze toka Tanzania after all hata huo wetu unavuja sasa cjui watajifunza expansion joint?
Rudi katika "KoT" ndiko ambako wakenya wametapika nyongo yote.
 
Aisee, huu uzi bana unafanana kwa sana na zile propaganda za sisiemu. Hamna source, link wala nini, angalau kwenye zile porojo za chama huwa wanatupiamo kapicha ka mzee akipiga pozi za ajabu ajabu. Yaani JKIA, ambapo ndege zinazotua na kupaa kwa lisaa limoja ni sawa na za wiki nzima JNIA alafu bado tunaimbiwa kwamba waige. Abiria wanaopita JKIA kwa mwaka ni zaidi, kwa mbali, na abiria wanaotumia viwanja vyote vya ndege Tz. JKIA hii hii ambayo ndio 'cargo airport' ya pili duniani kwa ongezeko la mizigo inayopita kwenye uwanja huo? Labda mnamaanisha Jeff Koinange International Airport.
 
Aisee, huu uzi bana unafanana kwa sana na zile propaganda za sisiemu. Hamna source, link wala nini, angalau kwenye zile porojo za chama huwa wanatupiamo kapicha ka mzee akipiga pozi za ajabu ajabu. Yaani JKIA, ambapo ndege zinazotua na kupaa kwa lisaa limoja ni sawa na za wiki nzima JNIA alafu bado tunaimbiwa kwamba waige. Abiria wanaopita JKIA kwa mwaka ni zaidi, kwa mbali, na abiria wanaotumia viwanja vyote vya ndege Tz. JKIA hii hii ambayo ndio 'cargo airport' ya pili duniani kwa ongezeko la mizigo inayopita kwenye uwanja huo? Labda mnamaanisha Jeff Koinange International Airport.
 
Kama tulivyosema siku za nyuma kwamba Tanzania ni " role model " katika ukanda huu, karibuni majirani kuja kujifunza mambo mbalimbali.

Wakenya kwenye mtandao wamechemka baada ya mvua inayoendelea kunyesha humu nchini kufichua ubovu wa uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta (JKIA).

Hayo yalijiri baada ya kanda kuibuka mtandaoni ikionyesha wateja wakinyeshewa wakati wa kuabiri ndege katika uwanja huo.
Video hiyo ilichapishwa kwenye mtandao na mwanaharakati Boniface Mwangi na kuuliza maswali kuhusu ujenzi wa JKIA.

Mwangi alikashifu kisa hicho na kusema uwanja huo wa ndege umejengwa kama zizi la ng'ombe.

Ni video ambayo ilileta mjadala mtandaoni huku Wakenya wakihoji kuhusu mamilioni yaliyotumika kwenye ujenzi huo.

Baadhi ya waliochangia walisema Kenya itapoteza umaarufu wake kutokana na utepetevu unaoshuhudiwa katika sekta mbali mbali.
Ni hali ambayo huenda ikachafua picha ya uwanja huo wa ndege kwenye rubaa za kimataifa nakuushukisha ngazi licha ya kuwa umewekwa katika orodha moja na viwanja vingine maarufu duniani

Kisa hicho kinajiri tu baada ya uwanja huo kuangaziwa hivi maajuzi baada ya mwili wa jamaa mmoja kuanguka kutoka alipokuwa amejificha chini ya ndege iliyokuwa imetoka JKIA kuelekea Uingereza.
Ngoja kidogo Kwanza brother, hivi mlikomboa Ndege yenu kutoka Canada?
 
Msiwajazie mambo waacheni wamalize la ukabila then mikataba mibovu ya wachina kwenye bandari na reli yao
Nasema waacheni kwanza wakenya wana mambo ya msingi ya kushughulika nayo sio hili
Huku kwetu Baba Jesca anakimbiza maendeleo kwa kasi ya 4G
 
Hoja ya Mwalimu Lwaitamwa kuhusu Maendeleo ya Vitu VS Maendeleo ya Watu

 
Tanzania wasomi wapo sio watu wamisifa tu ndenge imeshaachiliwa na mda wowote kuanzia sasa itakua Bongo hii ndio bongo bwana tunatumia bongo kwanz wabongo wamejaaliwa kupaji cha hii bra bra tu tuko vizur akisomea sheria tena unazan inakuaje
Ngoja kidogo Kwanza brother, hivi mlikomboa Ndege yenu kutoka Canada?
 
Tanzania wasomi wapo sio watu wamisifa tu ndenge imeshaachiliwa na mda wowote kuanzia sasa itakua Bongo hii ndio bongo bwana tunatumia bongo kwanz wabongo wamejaaliwa kupaji cha hii bra bra tu tuko vizur akisomea sheria tena unazan inakuaje
Sijawahi kusikia mali ya Nchi kukamatwa na mũtu binafsi...kweli nyingi ni wabongolala 😂😂😂😂
 
Kama tulivyosema siku za nyuma kwamba Tanzania ni " role model " katika ukanda huu, karibuni majirani kuja kujifunza mambo mbalimbali.

Wakenya kwenye mtandao wamechemka baada ya mvua inayoendelea kunyesha humu nchini kufichua ubovu wa uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta (JKIA).

Hayo yalijiri baada ya kanda kuibuka mtandaoni ikionyesha wateja wakinyeshewa wakati wa kuabiri ndege katika uwanja huo.
Video hiyo ilichapishwa kwenye mtandao na mwanaharakati Boniface Mwangi na kuuliza maswali kuhusu ujenzi wa JKIA.

Mwangi alikashifu kisa hicho na kusema uwanja huo wa ndege umejengwa kama zizi la ng'ombe.

Ni video ambayo ilileta mjadala mtandaoni huku Wakenya wakihoji kuhusu mamilioni yaliyotumika kwenye ujenzi huo.

Baadhi ya waliochangia walisema Kenya itapoteza umaarufu wake kutokana na utepetevu unaoshuhudiwa katika sekta mbali mbali.
Ni hali ambayo huenda ikachafua picha ya uwanja huo wa ndege kwenye rubaa za kimataifa nakuushukisha ngazi licha ya kuwa umewekwa katika orodha moja na viwanja vingine maarufu duniani

Kisa hicho kinajiri tu baada ya uwanja huo kuangaziwa hivi maajuzi baada ya mwili wa jamaa mmoja kuanguka kutoka alipokuwa amejificha chini ya ndege iliyokuwa imetoka JKIA kuelekea Uingereza.

hebu linganisha hio video na hii picha ya hili ziwa hapa !!
JNIA flooding24546_503.jpg
 



Stop cherry picking. Post all opinions.


<blockquote class="twitter-tweet"><p lang="en" dir="ltr">That is a lie! I have Landed there over 20 times. Tiles is not a basis for judgement. The places is hell slow, like KIA,in Arusha</p>&mdash; plukuimoita pchomostnet (@pchomostnet) <a href="">December 1, 2019</a></blockquote> <script async src="https://platform.twitter.com/widgets.js" charset="utf-8"></script>
 
Kenya airport waweke na umbrella za abiria tafadhari
 
Back
Top Bottom