Algeria: Wanajeshi 25 wauawa na moto wa msituni

Algeria: Wanajeshi 25 wauawa na moto wa msituni

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Takriban Wanajeshi 25 na Raia 17 wameuawa katika moto wa msituni uliotokea Mkoa wa Kabylie. Waziri Mkuu wa Nchi hiyo amesema pamoja na vifo, Wanajeshi kadhaa wamejeruhiwa wakikabiliana na moto huo

Katika siku za hivi karibuni Nchi kadhaa zikiwemo Uturuki, Ugiriki, Lebanon na Cyprus zimekumbwa na matukio ya majanga ya moto. Mapema wiki hii, Ripoti ya Umoja wa Mataifa (UN) imebaini matendo ya binadamu yanachangia mabadiliko ya Hali ya Hewa

======

At least 25 Algerian soldiers and 17 civilians have been killed in wildfires to the east of the capital Algiers, the country's prime minister has sai

Several more soldiers were injured fighting the fires, in the forested Kabylie region.
Temperatures of up to 46C were forecast for Tuesday and Wednesday.

Fires have caused devastation in several Mediterranean countries in recent days, including Turkey, Greece, Lebanon and Cyprus.

Climate change increases the risk of the hot, dry weather that is likely to fuel wildfires.

The world has already warmed by about 1.2C since the industrial era began and temperatures will keep rising unless governments around the world make steep cuts to emissions.

More than 100 fires have been reported across 17 Algerian provinces, the country's official news agency APS said on Tuesday evening.

President Abdelmadjid Tebboune paid tribute to the soldiers who were killed, tweeting that they had succeeded in rescuing more than 100 people from the mountains of Bejaia and Tizi Ouzou.

Interior Minister Kamel Beldjoud said that about 50 of the blazes were "of criminal origin"

Earlier this week, a major UN scientific report found that human activity was changing the climate in unprecedented and sometimes irreversible ways.

The landmark study warned of increasingly extreme heatwaves, droughts and flooding, and a key temperature limit being broken in just over a decade, but scientists say a catastrophe can be avoided if the world acts fast.

Source: BBC
 
Hakika huu ndio ule mwisho,tutaona mengi sana ila najua bado watu watabisha tu.
Corona,delta n.k
Mafuriko
Moto wa msituni
Migogoro mingi ya kisiasa
 
Hakika huu ndio ule mwisho,tutaona mengi sana ila najua bado watu watabisha tu.
Corona,delta n.k
Mafuriko
Moto wa msituni
Migogoro mingi ya kisiasa
Kibwetere... Maono yaliyoandikwa vitabuni yeshatokea yote na Mwisho haujafika... Imagine story za vitabu vya dini vinaonesha Dunia imepita miaka kadhaa tu na kitafiti Dunia ina miaka matrillion na ushee huko Dini zinasema Dunia ikaumbwa ikapita miaka 2000 ikaja gharika, Ikapita miaka 2000 akazaliwa Yesu, Imepita tena miaka 2000 hakuna la ajabu sasa hivi vi corona ukimwi n.k ni kama marudio tu maana yeshapita Mengi mno kama Tauni n.k ambayo ndio yalionesha kabisa huo utabili na Dunia haina Mwisho kiufupi maana inaelea tu na haina pa kuangukia ikapondeka pondeka au ikalipuka yote labda lisogeane na jua na pengine vyote vitapata damege lakini sio kuisha pyuuu... so be a good person enjoy life tu uzeeke udedi acha kuteseka na uoga wa vitabu
 
Kibwetere... Maono yaliyoandikwa vitabuni yeshatokea yote na Mwisho haujafika... Imagine story za vitabu vya dini vinaonesha Dunia imepita miaka kadhaa tu na kitafiti Dunia ina miaka matrillion na ushee huko Dini zinasema Dunia ikaumbwa ikapita miaka 2000 ikaja gharika, Ikapita miaka 2000 akazaliwa Yesu, Imepita tena miaka 2000 hakuna la ajabu sasa hivi vi corona ukimwi n.k ni kama marudio tu maana yeshapita Mengi mno kama Tauni n.k ambayo ndio yalionesha kabisa huo utabili na Dunia haina Mwisho kiufupi maana inaelea tu na haina pa kuangukia ikapondeka pondeka au ikalipuka yote labda lisogeane na jua na pengine vyote vitapata damege lakini sio kuisha pyuuu... so be a good person enjoy life tu uzeeke udedi acha kuteseka na uoga wa vitabu
Dunia imeanza miaka mingapi iliyopita? Njoo na andiko
 
Back
Top Bottom