Alhaji Sheikh Ponda: Game Changer kwa kura za Waislamu

nenda msikiti wa Mtambani useme haya kama hutararuriwa
 
Dah ni wewe au kuna mtu anatumia akaunti yako. Ila umeongea ukweli uliopo wenzako watabeza, kumuacha mtu kama January ni kosa mtu kama Nape ni kosa labda kama wamepanga kuwatumia mwishoni kuiba kura kitu ambacho ni ngumu sana safari hii.

Uchaguzi 2020 - Kampeni za CCM mwaka huu zimepwaya sana, kapumzika tena?
 
Kampeni awamu hii pumzi kwisha kila wiki mapumziko, hakuna tena push-ups mamamae.... Dr Kisenge kasema asilaumiwe kwa kuzorota kwa afya ya bwana yuleee!
 
CHADEMA haina cha kumpa ponda bro acha uongo.
 
Clip ya shehe inazunguka kwenye maguroup ya waislamu balaa toka jana usiku ..

Kuna group moja nimo la shule ya kiislamu hii clip imerushwa watu wote na walimu wame react very postive.......

Aisee yaani ni kwamba CCM haina chake kwenye uchaguzi huu.
Mimi nipo kwenye group la masheik hawamtambui huyo Ponda na wala hata sidhani kama kuna atayekwenda kupiga kura kwa influence yake.
 
Kinachowatokea ccm awamu hii hawajaamini maana walijua itakua mseleleko mwaka huu. Next time watajipanga
 
Wachungaji kila siku wanaanzisha makongamano ya kumsifu Magufuli ma CCM yanakenua, leo mwislamu mmoja Tu kaonyesha msimamo wake imekuwa nongwa, Waacheni waamue wenyewe msiwaingilie maana wao hawahoji mkimsifia mnaemtaka.
 
Usiogope mkuu, Ccm kuna mbinu nyingi za kushinda sio lazima iwe kwenye sanduku la kura.
 
Chadema kumchukua Ponda kura zitazidi kushuka mfano ni Mbeya pia kura zitashuka sana sababu ya Askofu Mwamakula ambaye Lisu amekuwa akizunguka Nate

Mbeya mjini waumini wengi ni wa kanisa LA Moraviani na sana hadi chuo kikuu pale kikubwa mno .Sasa Askofu Mwamakula alifukuzwa na Kanisa la Moravian Lisu akaenda naye Mbeya akimnadi kama Askofu !!! Makanisani wakaanza kumsema vibaya Lisu na huyo Askofu wake wa kuchonga na wameapa tarehe 28 hawatampa kura sababu yuko pamoja na muasi

Ponda pia ni muasi wa kiislamu alikuwa mwanaharakati wa kiislamu akatibuana na waislamu wenzie Lisu kambeba eti shehe wake!!!
 
TISS wameweka kambi Mbweni ambako wana print kura FAKE zipatazo Milioni 4. Hizo kura zitaingizwa kwenye masanduku ya vituo vya Dar es Salaam.

Kwa hiyo, tusikubali kutoka vituoni baada ya kupiga kura ili kulinda kura fake zisiingizwe. Mawakala peke yao hawawezi kusimamia UHUJUMU huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…