Juzi kwenye mahafali ya shule moja ya sekondary Bagamoyo, Rais mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi aliwahasa wananchi wachague viongozi wazuri na makini, wasije wakafanya makosa (Mwananchi 17 Oct. 2010).
mwinyi hajampigia chapuo kikwete yeye kasema wachague viongozi bora watakao waletea wanchi maendeleo!