Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Compact,Hongera.
Sasa kisome halafu utuletee Muhtasari..
Mzee wangu ni kwamba hatujajua tu bado bt kiukweli wewe ni hazina kubwa sana hapa jf, Mungu azidi kukulinda na kukupa maisha marefu zaidi.ALI HASSAN MWINYI: MZEE RUKHSA SAFARI YA MAISHA YANGU
Bi Lucie wa Mkuki na Nyota Wachapaji wa kitabu hiki amenifahamisha kuwa mimi hapo dukani kwao ni mtu wa pili kununua kitabu hiki.
Mtu wa kwanza yeye alilipia nakala yake kabla ya uzinduzi wa kitabu jioni hii leo.
Kitabu kimenifikia nyumbani baada ya kumaliza kufuturu tukiwa gizani ila kwa mwanga hafifu wa mishumaa kwani umeme ulikuwa umekatika.
View attachment 1777841
Mtu ambaye najihisi kuwa na deni kubwa nisiposoma andiko lake!! Huyu na kiranga!! Hasi na chanya ubongoni mwangu!Mzee wangu ni kwamba hatujajua tu bado bt kiukweli wewe ni hazina kubwa sana hapa jf, Mungu azidi kukulinda na kukupa maisha marefu zaidi.
Sio vizuri kumdhihaki mwendazake hivi, sote ni mavumbi na mavumbini tutarejea.Hivi Magufuli yeye hakwandika kitabu chochote,huku ndio alikuwa Rais Msomi kuliko wote hapa Tanzania.
Dar...Nina hamu kukisoma alichoandika Mzee wetu Rais mstaafu, ila bei ni kubwa mno
Kuna muda Hadi mtu unabaki unashangaa Yani..tangu magu amekufa ndy nimebaini siasa ni Imani Kama km Imani zingine tu.Imani inabeba misimamo.mtu anabeba chuki juu ya mwanasiasa fulani na mwingine anampenda huyo mwanasiasa kiasi kwamba wote wanakuwa vipofu,mmoja anapinga mwingine anasifia kila lifanywalo na huyo mwanasiasa hata liwe Baya vipiSio vizuri kumdhihaki mwendazake hivi, sote ni mavumbi na mavumbini tutarejea.
Bei yake tafadhaliALI HASSAN MWINYI: MZEE RUKHSA SAFARI YA MAISHA YANGU
Bi Lucie wa Mkuki na Nyota Wachapaji wa kitabu hiki amenifahamisha kuwa mimi hapo dukani kwao ni mtu wa pili kununua kitabu hiki.
Mtu wa kwanza yeye alilipia nakala yake kabla ya uzinduzi wa kitabu jioni hii leo.
Kitabu kimenifikia nyumbani baada ya kumaliza kufuturu tukiwa gizani ila kwa mwanga hafifu wa mishumaa kwani umeme ulikuwa umekatika.
View attachment 1777841
View attachment 1777850
Acha unywanywa angeandikaje wakati hakuwa amestaafu kupata muda wa kufanya hivyo. Kama Mwinyi amekiandika miaka 30 baada ya kustaafu, ulitegemea Magufuli atende miujiza gani kufanya hivyo. Hata hivyo, tokana na rekodi yake, wapo watakaoandika tena vingi juu yake.Hivi Magufuli yeye hakwandika kitabu chochote,huku ndio alikuwa Rais Msomi kuliko wote hapa Tanzania.
Wakuja...Mzee wangu ni kwamba hatujajua tu bado bt kiukweli wewe ni hazina kubwa sana hapa jf, Mungu azidi kukulinda na kukupa maisha marefu zaidi.
Ptz,Bei yake tafadhali
Yaan wanaumiza sana mioyo ya watu hawa lol.Kuna muda Hadi mtu unabaki unashangaa Yani..tangu magu amekufa ndy nimebaini siasa ni Imani Kama km Imani zingine tu.Imani inabeba misimamo.mtu anabeba chuki juu ya mwanasiasa fulani na mwingine anampenda huyo mwanasiasa kiasi kwamba wote wanakuwa vipofu,mmoja anapinga mwingine anasifia kila lifanywalo na huyo mwanasiasa hata liwe Baya vipi
Sasa Kwa huyo jamaa yeye ameamua kuwa upande wa chuk Kwa mwendazake..Hata sasa mwendazake hayupo lkn bado wanamuatack Hadi akiwa kaburini huku wanasahau siku moja nao watakuwa usawa wa futi sita chini ya ardhi