Ali K.... Danganya haoo...haooooo

my lyrics..... Mwanamke .akipenda kapenda heeelaaaaa.....

Sasa nimekuelewa, kumbe hoja si A.K kutafsiri lyrics but ni yeye kucctiza Mwanamke akipenda kapenda kweli... Umetendwa nini kaka?
 
Mbona mtoa hoja na wachangiaji mliomsupport mnashindwa kutuambia mashairi gani ya R.K yaliyotafsiriwa na A.K?

R.Kelly '' When a woman looveesss...she...sheee loves for real"
Ali K....'' Mwanamke akipenda.... kaapendaa kweeeliii''
 
BOngo Kiboko, , eti Mwasity kaenda New York kuimba na yule mkongwe wa huko West Africa, ina maana huyo Mwasity hapendi ujiko na hawezi weka picha facebook yuko NYC? hahahah, Eti THJT wamekwenda South Africa , kuhojiwa na watangazaji wa TV ya USA kwnye kipindi cha Good Morning America, hahahahahaha, dah huu uongo jama, hapo bado Best Producer Lamar na nyimbo ya ke ya ku copy ya Mariah carey . Haki ya Nani THT mtratafunwa na Ruge mbaka Mkone, Jamani JK ,huoni hilo?
 
 
Last edited by a moderator:
juma kweli chizi na nyimbo zake.mkinaaa duusoo saga sagaaa..
 
Haiingii akilini kwa ma great thinkers kujadili personal issues kama hizi tena zisizo na madhara yoyote kwa jamii .
 


we vipi?acha wivu...na wewe si utafsiri mashairi ya kiduku au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…