Ali Kamwe: Ahmed Ally anachonganisha wachezaji na mashabiki

Majibu ya kienyeji, kiswahili na kimbumbumbu.

Kamwe ameongea kiutu uzima safari hii
Kwa utu uzima gani? Amuache Ahmed na simba yake.
Yeye anawashwa nn?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila kusema ule ukweli, anachokifanya Ahmed Ali kwa wachezaji pale wanapofanya vibaya, siyo poa.
Ahmed ally sio MNAFIKIIII. Afu mbna utopoloo mmeumia kuliko wachezaji wa simba, kwemaa??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aliwazalo mjinga ndio linamtokea
Unauwaza sana ushoga
Ukute ushafanyiwa huo uchafu
Unashindwa kupiga hoja ya Ali Kamwe bila kuongelea huo uchafu
Unashabikia ushoga wa nini ww mtoto
Kuwa postive
Na ndio utajua alipewa macho matatu baada ya nini ,hakuna kitu cha siri hata wewe una yako watu wanayajua vizuri kuliko unavyohisi na ndio uhalisia.
 
Ah yaani wewe unajua leo,jamaa walianza kumgonga muda mrefu sana,aliponzwa na macho matatu
Sasa yule Ahmedi si ndio mwenye viashiria vyote vya usho.-Ga! Au humuoni?
 
Ahmed ally sio MNAFIKIIII. Afu mbna utopoloo mmeumia kuliko wachezaji wa simba, kwemaa??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyinyi ndiyo maana mliitwa mbumbumbu. Mbona hili jambo liko wazi kabisa!! Ahmed Ali ni Afisa habari. Hivyo mambo ya wachezaji, awaachie wasimamizi na waajiri wao.
 
Unaweza kusoma kati kati ya maandishi komenti za watu wa Simba unaelewa Kwa hakika maneno ya kamwe yameingia sawa sawa kumoyo. Hawajapenda na kumtukana tu Ali...
 
Huyo jamaa hapo juu kaorodhesha majina ya utani ya Simba....watu mna maneno..eti kinyume nyume fcπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Na ndio utajua alipewa macho matatu baada ya nini ,hakuna kitu cha siri hata wewe una yako watu wanayajua vizuri kuliko unavyohisi na ndio uhalisia.
Una tatizo kichwani
Wewe waza huo ushoga naona ndo umejaa kichwani mwako
Watu wanaongelea hoja
We unasema nini kimeijaa akilini mwako
Kwaiyo wewe mtu akikupa simu lazima akufir..e
Watu wanawapa vitu zaidi ya simu na ni ishu ndogo
We kijana kapewa simu unashupaza shingo ati ni shoga
 
Ally kamwe ni bottom, wala sio siri, tena had priva,
Unadhan siri? Yaan akakunjwa sope sembuse hao.
sioni sababu ya kuchafua watu kisa tofauti za kishabiki kumbuka unacho andika kitabaki hata pale wewe utakakapo kua haupo
 
Hii post imeonyesha wazi kuwa idara ya Habari na Mawasiliaon ya Simba ni dhaifu sana ikilinganishwa na ile ya Yanga
 
La
Lazima utetee mana mlipewa wote
 
Ni kweli Ally kamwe analiwa, wala sio sirii.
Sasa nani amekuuliza? Itatusaidia nini sisi kujua kama analiwa? Alafu huko Dar, ni rahisi sana mwanaume kuliwa na mwanaume mwenzake, basi hata baba yako naye analiwa. Haisaidii kitu kuchafua mtu asiyejitetea humu JF. Tutumie mitandao vizuri na sio kwa kukashfu na kuzushia wengine. Ipo siku ya hukumu ya Mungu inakuja. Kuweni na hofu ya Mungu.
 
sioni sababu ya kuchafua watu kisa tofauti za kishabiki kumbuka unacho andika kitabaki hata pale wewe utakakapo kua haupo
Majinga sana haya majamaa. Sasa ni kawaida sana kwa haya yanayotljitabainisha kuwa mashoga humu JF akina cocastic kuzushia kila mtu shoga bila kujua madhara wanayopata wenzake kwani wana watu wanaowazunguka. Uwepo wa fake ID hapa JF unaumiza na kujeruhi sana watu na ndio mtandao unaoongoza kwa kubully watu hapa Tanzania.

Humj JF kila mtu anazushiwa ni shoga, ukiwa tu umejipata kimaisha. Huko Daslama inaonekana ni rahisi sana kwa mwanaume kuvuliwa uanaume. Eri Kamwe kapewa simu macho matatu alafu akaliwa? Yaani kuna mwanaume chibi ya jua anavuliwa uanaume kwa ajili ya simu. Labda Baba zao hao walioandika huu upuuzi.

Pamoja na kutumia Fake ID, wajitahidi kuheshimu utu na uthamani wa wenzao. Wanakera sana hao vijana bro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…