Pongezi kwakeMeneja wa habari na mawasiliano wa Klabu yetu Ally Kamwe amealikwa kuendesha Semina ya siku 1 ya kuboresha na kuwajengea uwezo Maafisa habari wa vilabu vya Ligi Kuu Zanzibar (PBZ Premier League) leo tarehe 15, Sept 2024 katika Ukumbi wa mikutano wa Waandishi wa Habari katika Uwanja wa New Amaan Complex.
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko
NB: Je ni kweli ukiwa Yanga automatically unakuwa well connected???View attachment 3096134
Kapewa shavu na Arafat PBZNi heshima kubwa kwake... makolo hawaelewi
Zanzibar kuna ligi? Ok wangemwita Sope maanda ndie afisa habari wa UTO.Meneja wa habari na mawasiliano wa Klabu yetu Ally Kamwe amealikwa kuendesha Semina ya siku 1 ya kuboresha na kuwajengea uwezo Maafisa habari wa vilabu vya Ligi Kuu Zanzibar (PBZ Premier League) leo tarehe 15, Sept 2024 katika Ukumbi wa mikutano wa Waandishi wa Habari katika Uwanja wa New Amaan Complex.
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko
NB: Je ni kweli ukiwa Yanga automatically unakuwa well connected???View attachment 3096134
kwasababu wewe haikuingizii kula!Binadamu tunapilika pilika nyingi sana hapa duniani,zingine hata hazina maana