Ali Kamwe anaweza kuwa anapambana na mabosi wake

Ali Kamwe anaweza kuwa anapambana na mabosi wake

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Wengi tunaopita kwenye social media mbali mbali tumeona msemaji wa yanga akinusurika kupata kipigo kwa kujaribu kukamata jezi feki za timu yake na nyingine za Simba.

Kwa muda mrefu kumekuwa na jezi feki nyingi hasa za Simba na wao hao hao akina Kamwe na wenzie,ni kama wanakua wanajua kuwa kuna jezi za hovyo zitatoka za mpinzani wao eti kwa vile viongozi wake na mdhamini mkuu wa timu hiyo ya Simba ni wababaishaji.

Hata hivyo wengine tumekuwa tukiamini ni project inayodhamimiwa na watu wazito hasa wapinzani wa Simba.

Watu hawa ni hatari na huenda ndio wahusika wa jezi feki zilizokamatwa juzi.
Huyu kijana anatakiwa kutumia akili ya ziada linapokuja suala kama hilo kwani ukweli ni kuwa anaweza kuwa anapambana na waajiri wake.




Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
MWALIMU NYERERE ANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia,
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya, nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia, Tanzania ailinde WAOVU wasiivunde.

Amina Tena Amina Amina Tena amina


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
 
Wengi tunaopita kwenye social media mbali mbali tumeona msemaji wa yanga akinusurika kupata kipigo kwa kujaribu kukamata jezi feki za timu yake na nyingine za Simba.

Kwa muda mrefu kumekuwa na jezi feki nyingi hasa za Simba na wao hao hao akina Kamwe na wenzie,ni kama wanakua wanajua kuwa kuna jezi za hovyo zitatoka za mpinzani wao eti kwa vile viongozi wake na mdhamini mkuu wa timu hiyo ya Simba ni wababaishaji.

Hata hivyo wengine tumekuwa tukiamini ni project inayodhamimiwa na watu wazito hasa wapinzani wa Simba.

Watu hawa ni hatari na huenda ndio wahusika wa jezi feki zilizokamatwa juzi.
Huyu kijana anatakiwa kutumia akili ya ziada linapokuja suala kama hilo kwani ukweli ni kuwa anaweza kuwa anapambana na waajiri wake.




Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Ulitaka afanyeje maana umeandika as if anakosea, kitu kingine punguza ushabiki kwenye kila kitu
 
Kuna mambo yana sikitisha sana Nchi hii, ili swala la mtu kuingiza mzigo mkubwa kiasi icho tena mzigo feki alafu mpaka leo haujulikani wa nani ni jambo la kusikitisha.

Kuna vitu feki vingi sana na mamlaka zinafahamu na hazichukui hatua stahiki, vinapitaje uko mipakani hatujui ila vipo na vinauzwa kwanini mamlaka isi vikamate na kutafuta walio viingiza!!!
Yaani mahabusu zimejaa wezi wa nazi, kuku, mihogo, vijora alafu wale wanao haribu uchumi wa Nchi wanakula bata.
Ni ngumu kupiga hatua kama Nchi kama aya mambo serikali inayaona ya kawaida.
 
Kuna mambo yana sikitisha sana Nchi hii, ili swala la mtu kuingiza mzigo mkubwa kiasi icho tena mzigo feki alafu mpaka leo haujulikani wa nani ni jambo la kusikitisha.

Kuna vitu feki vingi sana na mamlaka zinafahamu na hazichukui hatua stahiki, vinapitaje uko mipakani hatujui ila vipo na vinauzwa kwanini mamlaka isi vikamate na kutafuta walio viingiza!!!
Yaani mahabusu zimejaa wezi wa nazi, kuku, mihogo, vijora alafu wale wanao haribu uchumi wa Nchi wanakula bata.
Ni ngumu kupiga hatua kama Nchi kama aya mambo serikali inayaona ya kawaida.
Ule mzigo ni wa CCM
 
Huyu dogo anajifanya yeye ndiye Yanga kuliko Yanga yenyewe,mwache atafute sifa za kijinga wampasue
 
Back
Top Bottom