Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
ALLY KAMWE: KAMA WALIFIKILI KOMBE WAMELIKIMBIA, NAWAMBIA LITAWAKUTA HUKO HUKO WALIPOKIMBILIA.
Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga Sc Ali Kamwe ameweka wazi kuwa malengo yao kwenye mchezo huo sio alama tatu ila lengo ni kufunga magoli mengi ili Aziz Ki afunge magoli ya kutosha kwa lengo la kumsaidia kwenye mbio za kubeba kiatu cha mfungaji bora msimu huu
Kamwe anasema kuwa siku ya Jumamosi Asubuhi Helikopta itaondoka Dar na kombe kuwapelekea Simba SC Jijini Arusha ili walione japokuwa hawatolishika kombe hilo.
#FutbalPlanetUpdates
Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga Sc Ali Kamwe ameweka wazi kuwa malengo yao kwenye mchezo huo sio alama tatu ila lengo ni kufunga magoli mengi ili Aziz Ki afunge magoli ya kutosha kwa lengo la kumsaidia kwenye mbio za kubeba kiatu cha mfungaji bora msimu huu
Kamwe anasema kuwa siku ya Jumamosi Asubuhi Helikopta itaondoka Dar na kombe kuwapelekea Simba SC Jijini Arusha ili walione japokuwa hawatolishika kombe hilo.
#FutbalPlanetUpdates