LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,491
- 12,560
1.Ulivunja Sheria mojawapo ya usiwaonyeshe walimwengu mafanikio yako lile saga la juzi kuwaita waandishi wa habari kuwa umemjengea mama nyumba usione watu wanakupenda fanya mambo yako kimya kimya walimwengu wivu mwingi
2.Kaa vizuri na baba yako mapema sana malizana nae yule mzee juzi aliongea maneno yenye utata sana kuwa wanaume tunalea ila watoto wakikua unaskia nani kama mama mzee wako aliongea kama utani ila ndani ana kitu be careful mdogo wangu
Soma Pia: Inaelezwa Ali Kamwe kafungiwa miaka 2, Ahmed Ally anusurika na rungu la TFF
2.Kaa vizuri na baba yako mapema sana malizana nae yule mzee juzi aliongea maneno yenye utata sana kuwa wanaume tunalea ila watoto wakikua unaskia nani kama mama mzee wako aliongea kama utani ila ndani ana kitu be careful mdogo wangu
Soma Pia: Inaelezwa Ali Kamwe kafungiwa miaka 2, Ahmed Ally anusurika na rungu la TFF