Ali Kamwe: Mashindano ya CAF, hatua hizi za awali tunapeleka ujumbe kwa Vilabu vinavyopewa nafasi ya kuwa Mabingwa

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Hatua za awali ni kwa timu vibonde Sasa anampelekea nani ujumbe wakati vigogo wametulia.
 
Ila jamaa apunguze kuongea Sana sababu anapitiliza Hadi kwenye uongo
 
Ndiyo kwaanza kunakucha....
Akumbuke kuna wataalam wa fitna na mpira pia...
Yote kwa yote kila la kheri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…