Yani watu wana maneno yanaweza kukuchekesha ukiwa umenuna. Mpira raha sana hasa harakati zinazoendelea nyuma ya uwanja. Sema pia unawafanya watanzania wasifuatilie mambo mengine ya serikali. Mtanzania anaweza kulia timu yake kufungwa ila kamwe hawezi kulilia toto afya kadi kufutwa kistali fulani.[emoji673]NIMEWAJAZA MAKOLO KWA BOB MARLEY WAKAJAA [emoji2788]“Milioni 350+ Gari la Milioni 70 Kwa Goli Moja .. Yaani Kamoko kwa Mwaka Mzima Bob Marley Kalamba Mkataba wa Maajabu,
”Huu Msimu Makolo nimewafanya kama Roboti Eunice.. Nikiwajaza kwenye njia zangu, Basi Wanajaa mazimaa Hadi Raha Tatizo lao kubwa Makolo ni kuwa na Viongozi wengi 'System ya Mchina, Jua kidogo tu, Betri inavimba,
“Tukutane Aman Complex Saa 1:00
“BANGO KUUBWA LIKO PALEPALE KWENYE JENGO.. MIMI HUWA SIDANGANYI.” -Ali Kamwe [emoji1787]
#amouryangascView attachment 3006330
Naona wameamua kuweka passport size yaoKwamba Simba hawana nembo/ logo ya club Yao Hadi waweke mnyama aliyejichokea namna hii?
Nimecheka sana...naelekea Aman stadium kuchukua ticket Kwa Mara ya kwanza nishuhudie boli uwanjani Leo.Naona wameamua kuweka passport size yao
Mpira wetu....kivyetu vyetuYani watu wana maneno yanaweza kukuchekesha ukiwa umenuna. Mpira raha sana hasa harakati zinazoendelea nyuma ya uwanja. Sema pia unawafanya watanzania wasifuatilie mambo mengine ya serikali. Mtanzania anaweza kulia timu yake kufungwa ila kamwe hawezi kulilia toto afya kadi kufutwa kistali fulani.
Sema nasemaje, mpira wa TZ una burudani sana mimi si mpenzi sana wa mpira ila nafurahia zile siasa na maneno yanayoendelea nje ya uwanja kama haya ya kuwachukiza wapinzani.
Dah! Ila Rage aliwaza mbali sana. 😁Kwani Rage alivowaita mbumbumbu hukumwelewa?
HJyu Punga anasema nini? Muulizeni kwanini ana bifu na baba yake mzazi. Au muulizeni kwanini mkewe alimkimbia mara baada ya kumfuma akilewa denda kwenye gari.[emoji673]NIMEWAJAZA MAKOLO KWA BOB MARLEY WAKAJAA [emoji2788]“Milioni 350+ Gari la Milioni 70 Kwa Goli Moja .. Yaani Kamoko kwa Mwaka Mzima Bob Marley Kalamba Mkataba wa Maajabu,
”Huu Msimu Makolo nimewafanya kama Roboti Eunice.. Nikiwajaza kwenye njia zangu, Basi Wanajaa mazimaa Hadi Raha Tatizo lao kubwa Makolo ni kuwa na Viongozi wengi 'System ya Mchina, Jua kidogo tu, Betri inavimba,
“Tukutane Aman Complex Saa 1:00
“BANGO KUUBWA LIKO PALEPALE KWENYE JENGO.. MIMI HUWA SIDANGANYI.” -Ali Kamwe [emoji1787]
#amouryangascView attachment 3006330