Ali kamwe ,na mzee mpili wapo mafia wamekuja kuchukua zana wakimaliza gem yao chamazi wafunge uwanja

chongoe

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2019
Posts
1,183
Reaction score
2,871
Mimi simba ila sio rahisi kutoboa usiulize kwanin mimi ndio mpelekaji
 
Msitafute visingizio, kiwango cha Simba na power dynamo vinatofautiana kidogo sana na lolote linaweza kutokea.

Ingawa Mwekezaji pekee wa Simba Bwanyenye MO Dewji anaye endesha mali na utajiri wa familia ya Ghulam Dewji, anasema mpaka sasa amesha tumia bilioni 55 ukiondoa ile bilion 20 ya uwekezaji na bado hawaja weza kuvuka hatua ya robo fainal.

Nawaomba mashabiki wa mpira wasiwe na mihemko, lolote linaweza kutokea kwamaana ya Simba kuvuka au kutovuka kwakua viwango na uchezaji wa izi timu unatofautiana kwa alama za desimali.
 
Yanga akipanda simba anashuka.
Yanga akiwa na ukata na migogoro, simba anapanda
 
Yanga akipanda simba anashuka.
Yanga akiwa na ukata na migogoro, simba anapanda
Simba hawajashuka ila Yanga kwa sasa hawana ukata, kwa miaka mingi Yanga ikiwa vizuri ki uchumi Simba haijawahi kufurukuta.

Mbinu waliyotumia simba ni kuidhoofisha yanga kupitia Makonda kwa kuhakikisha Yusufu Manji anaondoka Yanga kwa njia yoyote na walifanikiwa kwa asilimia 100.

Kama hali ya ki uchumi ya Yanga ita endelea kuimarika itawapoteza Simba vibaya.
Hii inatokana na Yanga mizizi yake kusambaa nchi nzima kwaiyo kazi yao ni kuunganisha nguvu tu na wanapata wanacho kihitaji.

Mfano mdogo ile safari ya Rwanda,
Alichofanya msemaji wa Yanga ni kushawishi tu mwitikio ukawa mkubwa.
Iyo ndio faida ya kuwa na mizizi nchi nzima.
 
Mashabiki wa Simba anzeni kununua Panadol maana jumapili tutashuhudia pira maguvu ,pira kukuru kakara a.k.a VISHINDO VYA WAKOMA. Mtalala hoi na kipigo juu.
mashabiki wa utopolokwinyo mnapenda Sana kujipa kazi ya utabiri lakini inawakataa muda wote, hizi pumba zako utazilamba jumapili, hakikisha hiyo jumapili hukosi Panadol advance itakusaidia
 
mashabiki wa utopolokwinyo mnapenda Sana kujipa kazi ya utabiri lakini inawakataa muda wote, hizi pumba zako utazilamba jumapili, hakikisha hiyo jumapili hukosi Panadol advance itakusaidia
Niliangalia mechi ya Power Dynamos vs Simba, Simba ilizidiwa sana na goli la pili lilirudi baada ya Power Dynamos kubaki kumi uwanjani! Jpili watakuwa 11 tunaweza kushuhudia maajabu ya mpira! Makolo mechi zao ni mbili tu this season of CAF Champions league!
Nimeota Simba itakandwa mbili bila na bao zote zitafungwa dakika 30 za kipindi Cha kwanza!
 
mashabiki wa utopolokwinyo mnapenda Sana kujipa kazi ya utabiri lakini inawakataa muda wote, hizi pumba zako utazilamba jumapili, hakikisha hiyo jumapili hukosi Panadol advance itakusaidia
Kolo unateseka ukiwa wapi...
 
Ile mechi Simba hakuzidiwa hata kidogo, kukosa umakini kwa Baleke ndio kuliikosesha ushindi Simba, we endelea kuota utakuja kushtuka umekojoa kama sio kunya kabisa kitandani
 
Moja ya makafara ya mashabiki wa utopolo ni kabla na baada ya mechi.
Kabla ya mechi ni damu baada ya mechi ngono.Asilimia kubwa ya wanawake wanaoshabikia utopolo wanatumiwa majini mahaba ili wakandwe na mwanaume yoyote aliye karibu yao.Huwa wanapagawa na hawajui wao hudhani ni kwa sababu wanaipenda timu
 
Kama ilivyokakutokea safari ile ulipotumiwa jini mahaba akakukula
 
Unafiki mtupu viongozi wa hapa,Uongo ndiyo tabia yao,Wanakataa watu wa mpira wanafanya majambo kwa manufaa yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…