Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Ali kamwe:
" Kesho tuna mechi ngumu sana wala sio utani, Mimi ni Mtu wa kutamba sana lakini nimecheki kwenye darubini yangu kesho tuna mechi ngumu sana , kwanza tunacheza na timu yenye rekodi nzuri uwanja wa nyumbani lakini pia walipofikia sasa hivi sio mechi ya Rivers dhidi ya Yanga
ni mechi ya Nigeria dhidi ya Yanga kwa sababu hakuna timu nyingine ya Nigeria ambayo ipo Robo fainali"- @alikamwe,
Afisa habari wa Yanga SC kuelekea mchezo wa kesho huko Nigeria.
" Kesho tuna mechi ngumu sana wala sio utani, Mimi ni Mtu wa kutamba sana lakini nimecheki kwenye darubini yangu kesho tuna mechi ngumu sana , kwanza tunacheza na timu yenye rekodi nzuri uwanja wa nyumbani lakini pia walipofikia sasa hivi sio mechi ya Rivers dhidi ya Yanga
ni mechi ya Nigeria dhidi ya Yanga kwa sababu hakuna timu nyingine ya Nigeria ambayo ipo Robo fainali"- @alikamwe,
Afisa habari wa Yanga SC kuelekea mchezo wa kesho huko Nigeria.