Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
“Siku ya Mwananchi Uwanja Tulikabidhiwa saa 6 usiku, kama ingekuwa simba ndio wamekabidhiwa ule uwanja muda huo asubuh kila mtu angeshika kichwa, wangefanya mambo ya hovyo kwasababu wana maboss wengi watendaji wachache.
“Ilivyofika saa 6 usiku kila mtu alishika eneo lakini hadi saa 12 asubuh tukawa tumemamilza kazi, lakini Simba walijaza makorokocho mengi hivyo ilikuwa rahisi kubandua na kuchanachana hata wangetupa uwanja saa 10 saa 12 asubuh tungekuwa tumemaliza,” Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga Sc, Ally Kamwe
Je unakubaliana na hili
“Ilivyofika saa 6 usiku kila mtu alishika eneo lakini hadi saa 12 asubuh tukawa tumemamilza kazi, lakini Simba walijaza makorokocho mengi hivyo ilikuwa rahisi kubandua na kuchanachana hata wangetupa uwanja saa 10 saa 12 asubuh tungekuwa tumemaliza,” Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga Sc, Ally Kamwe
Je unakubaliana na hili