Ndicho wanachowezaThen baadaye waanze kulaumu waamuzi[emoji23]
Ni fimbo mpaka waje classWa fimbo hawa
Ndo hivyo mkuu...Yaani TP Mazembe wanawazoom na nyie mnachekelea kabisa? [emoji1787][emoji38].
Kwamba timu iliyowahi kubeba kombe la Klabu Bingwa Afrika, hadi kucheza na Inter Milan kombe la Klabu Bingwa ya Dunia inakuja kujifunza kwa timu ambayo hawajawahi kufika level hizo?
Hapo ni aidha TP Mazembe wamekuja kutalii tu badala ya kujifunza au wamekuwa wapumbavu wasiojua mahala sahihi pa kujifunza.
Nyuma mwiko........mnajiona mpo bora sana........chukueni mara ya nne tulingane kwanza...... ndio muanze ujivuni.... π π πThen baadaye waanze kulaumu waamuzi[emoji23]