Ali Kamwe: Simba tutawafuata na bakora waje kujifunza Kwa yanga

utoto raha
 
Kuna club ya Misri inaitwa Al ahly Hawa jamaa wako vizuri.Watu wanatakiwa wakajifunze kule
 
Nyuma mwiko........mnajiona mpo bora sana........chukueni mara ya nne tulingane kwanza...... ndio muanze ujivuni.... πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
Yanga wamechukua kombe mara 30....

Guvu moya ....mara 22[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…