mimi bwana ndi maana naipenda pepo ya wasilam sio hii ya huku kwetu eti tunaambiwa tukakesha kusifu. mambo gani hayo nani aimbeTumetukuka kabisaa mkuu, na kwa mujib wa Quran, akhera tunaandaliwa mabikra 70, bao 1 utamu unaenda saa zima, sio kama bao la duniani sekunde 2 tu
Nasikia ameongezea wavae na hereni na kope bandia.Kwani bado hamjajipodoa huko vichwani mwenu mpaka leo?
Nini kinawachelewesha? msione aibu fanyeni hivyo muwe wazuri mjini.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Ahahahahah... hii mimi pia huwa inanipa mawazo sana. Kukesha kuimba tuu. Halaf wanasema eti kule hakuna njaa kwahiyo maana yale pia hakuna kula.sio hii ya huku kwetu eti tunaambiwa tukakesha kusifu. mambo gani hayo nani aimbe
Broo samahani unaizungumziaje kauli ya papa ?We dogo ulianza na vinjuka Aziz Ki day sisi na heshima zetu tukapiga vinjuka na vitambi mchomoko vyetu mtaani tukawa vituko!!
Sasa tupake rangi vichwani kweli? Gharib atapaka? Au ni wale wale wala chapati pale kwenye jangwa pekee lenye mafuriko duniani?
Hili la blich hapana dogo, Kweli tufanane na Defao? ....[emoji1787]
Si ni baba mtakatifu anamuwakilisha Mungu duniani?Uzuri umesema ya papa ibakie hivyo [emoji6]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu aliwaza pia kuwa Yanga ina mashabiki wenye uwaraza.
Yani mimi na uwaraza wangu nikapake bleach nywele za pembeni tu si itakuwa kituko cha karne[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bleach ni uhuni tu, umetulia zako unashangaa mtu anakatiza ukiangalia kichwa kwa mbali unaweza kusema kabeba sahani ya pilau kichwani
Sent using Jamii Forums mobile app
si bora defao utafanana na zuwena cha wote wa dayamondi, natamani sana kumuona priva shayobna ule mwanya wake ni zuwena mtupuuuuWe dogo ulianza na vinjuka Aziz Ki day sisi na heshima zetu tukapiga vinjuka na vitambi mchomoko vyetu mtaani tukawa vituko!!
Sasa tupake rangi vichwani kweli? Gharib atapaka? Au ni wale wale wala chapati pale kwenye jangwa pekee lenye mafuriko duniani?
Hili la blich hapana dogo, Kweli tufanane na Defao? ....[emoji1787]
We dogo ulianza na vinjuka Aziz Ki day sisi na heshima zetu tukapiga vinjuka na vitambi mchomoko vyetu mtaani tukawa vituko!!
Sasa tupake rangi vichwani kweli? Gharib atapaka? Au ni wale wale wala chapati pale kwenye jangwa pekee lenye mafuriko duniani?
Hili la blich hapana dogo, Kweli tufanane na Defao? ....[emoji1787]
Atapaka😎We dogo ulianza na vinjuka Aziz Ki day sisi na heshima zetu tukapiga vinjuka na vitambi mchomoko vyetu mtaani tukawa vituko!!
Sasa tupake rangi vichwani kweli? Gharib atapaka? Au ni wale wale wala chapati pale kwenye jangwa pekee lenye mafuriko duniani?
Hili la blich hapana dogo, Kweli tufanane na Defao? ....[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]si bora defao utafanana na zuwena cha wote wa dayamondi, natamani sana kumuona priva shayobna ule mwanya wake ni zuwena mtupuuuu