Ali Kamwe Tuheshimiane!!

Tumetukuka kabisaa mkuu, na kwa mujib wa Quran, akhera tunaandaliwa mabikra 70, bao 1 utamu unaenda saa zima, sio kama bao la duniani sekunde 2 tu
mimi bwana ndi maana naipenda pepo ya wasilam sio hii ya huku kwetu eti tunaambiwa tukakesha kusifu. mambo gani hayo nani aimbe
 
Washapakaa mbonaa..
Wamekua Amber Rose FC
 
Reactions: Tui
sio hii ya huku kwetu eti tunaambiwa tukakesha kusifu. mambo gani hayo nani aimbe
Ahahahahah... hii mimi pia huwa inanipa mawazo sana. Kukesha kuimba tuu. Halaf wanasema eti kule hakuna njaa kwahiyo maana yale pia hakuna kula.

Na pia kule qanasema hakuna usiku wala mchana kwa maana hiyo hakuna haga kulala.

Halaf kule wanasema woote mnakua mnafanana so hakuna hata raha ya kuosha osha macho japo uone uzur wa uumbaji wa viumbe wa mweznyez.

Huko kwa wenzetu ni full kupeleka moto tu
 
Broo samahani unaizungumziaje kauli ya papa ?
 
Huyu dogo alikamwe ni mpuuzi sana huwa mara nyingi najiuliza nugaz alitolewa kwanini mpaka akaletwa mjinga kama huyu?
 
Reactions: Tui
Haya ni matatatizo ya kuwashwa unakokunwa, hujalazimishwa umewashwa tu kipere 😅😅
 
Halafu aliwaza pia kuwa Yanga ina mashabiki wenye uwaraza.

Yani mimi na uwaraza wangu nikapake bleach nywele za pembeni tu si itakuwa kituko cha karne[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
si bora defao utafanana na zuwena cha wote wa dayamondi, natamani sana kumuona priva shayobna ule mwanya wake ni zuwena mtupuuuu
 

Kapige blich wewe acha maneno maneno. Kuna watu mtakuwa kama Ambaruti! [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Atapaka😎
 
si bora defao utafanana na zuwena cha wote wa dayamondi, natamani sana kumuona priva shayobna ule mwanya wake ni zuwena mtupuuuu
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…