Ali Kamwe: Tuliwaomba Wydad watuzimie kelele kesho

Huyu alikuwa vyedi kuchambua mpira sijui kapatwa na nini amekuwa anasema mashudu sana siku hizi.Mwenyewe anaona anapatia sana kumbe kujishushia heshima tu.
Bado ni genius..... that's y aliaminiwa pale mjini jangwan
 
Aahhaaaaaaa

Mkuuu wanyooshwe

[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
Kabisa. Wanyooshwe tu hakuna namna.
Mdomo,dharau husda na majivuno yamezidi.
Hawataki wenzao wanyanyuke,
wanataka watambe wao tu .
 
Kabisa. Wanyooshwe tu hakuna namna.
Mdomo,dharau husda na majivuno yamezidi.
Hawataki wenzao wanyanyuke,
wanataka watambe wao tu .
Lkn wanaishia kombe la robo fainali
 
Saivi Huyu kawa msemaji wa Simba. Añaisema Zaidi Simba kuliko timu yake


Yani yeye ni muda wote anafanya ujinga huu.Amekuwa msemaji mpumbavu kuliko wote waliowahi pita Yanga.

Itakuwa ni shoga huyu mtoto
 
Saivi Huyu kawa msemaji wa Simba. Añaisema Zaidi Simba kuliko timu yake


Yani yeye ni muda wote anafanya ujinga huu.Amekuwa msemaji mpumbavu kuliko wote waliowahi pita Yanga.

Itakuwa ni shoga huyu mtoto
Mr kispika .....hujawahi kumsikia??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…