Ali kamwe: Uwanja wa Chamazi viti vilikuwa vidogo kama vya watoto wa Primary

Ali kamwe: Uwanja wa Chamazi viti vilikuwa vidogo kama vya watoto wa Primary

Eti,wakati bwawa la kaunda lina viti kama vya Allianz Arena
kau.jpg

kau2.jpg
kaun.jpg
 
Ndio shida ya kusaidia mtu akikuchoka anaanza kukuponda... hapa kaonyesha ujumbe kwamba usimsaidie mtu hata kama ana shida gani.. mi sioni kn kulikua na ulazima wa kusema hvyo ikiwa wao wenyewe hawana uwanja na hawakulazimishwa kwenda chamazi. akili zipo matakoni huyu kijana
 
Maisha Yana kesho, Kuna maisha baada ya mpira...bongo siku moja tu ukiwa nje ya mfumo basi Kila tawi linakukataa.
 
Sasa hivi ndo ataons utamu wa kazi ya usemaji wakati timu inatembelea rim.unawatuliza vipi mashabiki
 
Back
Top Bottom