Kama Euro vile!Wengine hatujui hayam mambo, kwa hiyo hapo ndio anakuwa ameingia hatua ya mtoano, nusu fainali au fainali!?
Tunawatakia upigaji kura mwema at least sie hatutafanya vote 4wizkid bt we won't botherHongera yake, niliwaambiwa timu kiba kipindi kile cha "vote for Davido" hamna haja yakumfanyia hivyo Diamond kwasababu miaka kadhaa ijayo kiba pia atapata nominations kama hizi kama ataendelea kukaza na kufanya kazi nzuri.
Okay time is now, niwatakie upigaji mwema wa kura, binafsi I won't bother [emoji4].
Akipata hapo (BEST AFRICAN ACT) anaenda kwenye kipengere cha pili ambacho anashindanishwa na yule wa Best Indian act,ambayo inaitwa world wide. AMBAZO KWA MWAKA JANA ALIZIPATA DIAMOND.Wengine hatujui hayam mambo, kwa hiyo hapo ndio anakuwa ameingia hatua ya mtoano, nusu fainali au fainali!?
Popcorn na Pepsi pembeni tunaangalia movie. Tunamtakia kila la heri. wako wapi marafiki zetu Cc. Nifah , atoto , pwilo.Tunawatakia upigaji kura mwema at least sie hatutafanya vote 4wizkid bt we won't bother
Hii hapa jombaa[emoji116] [emoji116] [emoji116]iko wap link nipge kura wadau
Wapi yule jini mwenye roho mbaya kabisa ambaye huwa anatekenyeka kila akiguswa na salome.
Yoooooooooh kingkiba papleeen mchiz wa gheto
Wewe sio mfuatiliaji wa muziki si bongo wala Africa, maana ungekuwa UNAJUA KUWA OMMY DIMPOZ AU VANESSA MDEE WAMEKUWA NOMINIIZI MARA NYINGI SANA ZAIDI YA HUYO KIBA,LAKINI DIMPOZ HUYO HAPO HANA LOLOTE. LAKINI TOFAUTI YAO WAO NA DIAMOND NI KUZICHUKUA HIZO TUZO MARA KWA MARA.Safi sana kuwa nominated tu inatosha sana hata asiposhinda, maana tulilazimishwa kuwa Mondi ndie pekee anaweza kutoboa kimataifa, big upa Kiba Mungu akujalilie kila lililo jeama.
Achana nao,hawezi kupata hiyo tuzo hata alale uchi makaburini miaka 36.Muosha uoshwa, VoTe For WizKid
Mkuu watu wachawi sio mbaka wawe na matunguli hata wenye tabia kama zako ni wachawi baada ya kutoa hongera kwa kijana kwa hatua aliyofikia wewe unamuonbea mabaya!Achana nao,hawezi kupata hiyo tuzo hata alale uchi makaburini miaka 36.