Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,061
Ali Kiba Na shilole Nani maarufu?Msanii Ali Kiba anaye amezindua biashara ya kuuza kofia aina ya Cap huko Nairobi Kenya, gavana wa Mombasa Hassan Joho ameonekana akizipigia promokwa kuzivaa
Ali Kiba pia ameibuka kididea kwenye tuzo za watu maarufu waliopo kwenye sekta ya burudani
Hapana msiwe hivyoDiamond atasubiri sana mwaka huu.
'Kitu pekee Ali kiba alichomzidi Diamond ni UMRI'Diamond atasubiri sana mwaka huu.
Tujadili hatua za mafanikio yao, sio kujadili tofauti zao. Hatutajifunza lolote.'Kitu pekee Ali kiba alichomzidi Diamond ni UMRI'
Hahahahahaha[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Soon Mondy atazindua "K" mpya!!