Siijui kwani hiyo kolabo waliimba wawili tu au ndio ile ya kwaya ya chariti?
screpa kilo sh ngapi
Tulishapitaga huko
Mbali na akili,nazani kuna kitu mbadala kinakuongoza ktk maisha yko!thubutuuuu yenu hv nyie mna uwezo gani wa kupiga colabo na KING OF R&B R.KELLY? nyie sampuli zenu ni kina davido, fally ipupa, juma nature,msaga sumu, KIBA SAME LEVO NA R.KELLY
Wewe bado sana kwenye masuala ya muziki na inaonyesha umeanza juzi kumfuatilia kiba na muziki wake lakini mambo ya muziki kwa ujumla huyajui,swali je unafahamu kuwa wakati wa yeye kuimba na akina R.kelly ilikuwa ni kuhusu nini na unajua ilijumuhisha wasanii wangapi au unafurahishwa na kuhojiwa na bbc kama haijawahi kutokea kwa wasanii wa bongo, mbona DIAMOND keshafanya na CNN tena mahojiano yamefanyika nyumbani kwakethubutuuuu yenu hv nyie mna uwezo gani wa kupiga colabo na KING OF R&B R.KELLY? nyie sampuli zenu ni kina davido, fally ipupa, juma nature,msaga sumu, KIBA SAME LEVO NA R.KELLY
Wewe bado sana kwenye masuala ya muziki na inaonyesha umeanza juzi kumfuatilia kiba na muziki wake lakini mambo ya muziki kwa ujumla huyajui,swali je unafahamu kuwa wakati wa yeye kuimba na akina R.kelly ilikuwa ni kuhusu nini na unajua ilijumuhisha wasanii wangapi au unafurahishwa na kuhojiwa na bbc kama haijawahi kutokea kwa wasanii wa bongo, mbona DIAMOND keshafanya na CNN tena mahojiano yamefanyika nyumbani kwakekumbuka anakopita kiba DIAMOND ALISHAPITA ZAIDI YAKE.
Wewe bado sana kwenye masuala ya muziki na inaonyesha umeanza juzi kumfuatilia kiba na muziki wake lakini mambo ya muziki kwa ujumla huyajui,swali je unafahamu kuwa wakati wa yeye kuimba na akina R.kelly ilikuwa ni kuhusu nini na unajua ilijumuhisha wasanii wangapi au unafurahishwa na kuhojiwa na bbc kama haijawahi kutokea kwa wasanii wa bongo, mbona DIAMOND keshafanya na CNN tena mahojiano yamefanyika nyumbani kwakekumbuka anakopita kiba DIAMOND ALISHAPITA ZAIDI YAKE.
'MSINISEME KAMA NAPENDA KULA', kweli anasikilizwa na watu makini
'MSINISEME KAMA NAPENDA KULA', kweli anasikilizwa na watu makini
thubutuuuu yenu hv nyie mna uwezo gani wa kupiga colabo na KING OF R&B R.KELLY? nyie sampuli zenu ni kina davido, fally ipupa, juma nature,msaga sumu, KIBA SAME LEVO NA R.KELLY
Sasa mimi na wewe nani hajui kitu huo mradi ulisimamiwa na airtel na ndio iliyowakusanya wasanii na wao ndio waliopendekeza wa kina nani wawepo ( kumbuka kipindi hicho DIAMOND bado hayupo wala ommy dimpoz hata Vanessa kwa sasa asingeipata hiyo bahati aliyoishindwa kuitumia vizuri)wewe ndio hujui kabisa, hivi kitu kuitwa colabo inatakiwa kuwa na watu wangapi? maana usikute hujui maana ya colabo, mahojihano ya mond na CNN yalifanyika na waandishi uchwara tu
Hata mim nlikuwa I was amazing Kiba kwenda kwa R.K inawedhekana vyupi.Kumbe yatosha kifurushi walipendkedha!OMG!!
Mbali na akili,nazani kuna kitu mbadala kinakuongoza ktk maisha yko!