Ali Kiba amlalamikia Sallam SK kuwa anahusika na kuzimika kwa 'mic' Mombasa

Ali Kiba amlalamikia Sallam SK kuwa anahusika na kuzimika kwa 'mic' Mombasa

isho_boy

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2015
Posts
2,145
Reaction score
1,892
Wakuu mnakumbuka tukio la Kiba kuzimikiwa na mic kwenye tamasha la Mombasarocks?

Akihojiwa na kipindi cha Mseto Citizen na mzaz Willy Tuva, Kiba alidai kuzimika kwa mic yaweza kuwa ni figisu za Sallam SK yule meneja wa Diamond coz kipindi anapafomu SK alikuwa nyuma ya stage.



Habari hii imetumika kwenye Kipindi cha JamiiLeo kinachorushwa kila siku jioni katika Channel ya JamiiForums kwenye mtandao wa YouTube.

Kuona kipindi hicho angalia video ifuatayo, acha maoni yako na kisha Subscribe kwenye Channel ya JamiiForums.

 
Haaaaah hii nchi ngumu sana yaani munaendekeza ushirikina kwenye mambo professional kama haya...

Alikiba ulitakiwa kujiandaa kwa vyovyote vile ulitakiwa kuwa na interijensia ya kila kitu unachokifanya ...

Kumbuka hii ni dunia ya ushindani na upo kwenye mashindano pole yako kama ujui....
 
Mbona anavisababu vya kitoto huyu inamaana wale walioandaa show ni wajinga mpka wamruhusu mtu asiejulikana amzimie mic msanii walie mlipa 150 mil kweli?
Huwezi jua kaka yaweza kuwa si unajua ushindani kaka
 
Inaweza kuwa ni KIKI ya kuwaweka hawa Jamaa(kiba na mond) pamoja...
Ila kama ni bifu, nafikiri sasa linaelekea pabaya..!
 
Msanii wa bongo Fleva Alikiba amemshushia tuhuma nzito meneja wa msanii mwenzie Diamond platnumz maarufu kama Sallam.
Akizungumza na clouds FM katika kipindi cha xxl, alikiba amezumgumza kwa huzuni sana kwamba Sallam ndiye aliyehusika kufitinisha yeye kupokonywa maiki katika jukwaa hilo
Anasema wakati akiwa jukwaani alimuona sallam chini ya jukwaa, hivyo huenda amehusika moja kwa moja katika fitna hiyo.Anasema kama hawana bifu meneja huyo alikwenda Mombasa katika show hiyo kufanya nini?

Haya yamekuja baada ya Alikiba kuperform nyimbo mbili tu na kuzimiwa maiki na kupandishwa msanii mwingine Chriss brown.

Je , tuhuma hizi zinaweza kuwa na ukweli wowote?
 
Hawa jamaa wote ni wachawi. Kiba ni mchawi hivyo ni rahisi kumjua mchawi mwenzie.

Anyway on serious note ... huyu manager wa Diamond alionekana backstage kwanini??

Kiba katia huruma sana anavyoongea hapo...
 
Ila
Hawa jamaa wote ni wachawi. Kiba ni mchawi hivyo ni rahisi kumjua mchawi mwenzie.

Anyway on serious note ... huyu manager wa Diamond alionekana backstage kwanini??

Kiba katia huruma sana anavyoongea hapo...
kajichanganya mkuu Mara wanasema muda wa kuperform Mara meneja....
 
Tatizo ni ssalaam alifata nini backstage.... alienda kama nani.. na kufata nini. Na ili iweje.. aliiitwa? Alikiba keep cool ur talented than one they compare to...
 
Back
Top Bottom