Ali kiba anasikika akitaka kutoa nyimbo na LAZIMA wapambe watafute bifu dogo na Diamond

Umeelewa na Imepenya msanii anasafiria nyota
sawa, hakuna aliyebisha, tatizo nini

yaani umeandika hakuna anayekubishia, wanakushangaa tu..ali kiba hata kusikika hasikiki!! umeanzisha maada bila evidence, bila hoja...ndio watu wanakushangaa dada!!
 
for sure!!....mtumie kwenye simu yake dada

pole, kakuacha hivi hivi,
Mmezoea kubinywa eeeh nyie mitoto ya da mnahisi kila unalifanya wenzio wanafanya....
 
sawa, hakuna aliyebisha, tatizo nini

yaani umeandika hakuna anayekubishia, wanakushangaa tu..ali kiba hata kusikika hasikiki!! umeanzisha maada bila evidence, bila hoja...ndio watu wanakushangaa dada!!
K m
 
Mmezoea kubinywa eeeh nyie mitoto ya da mnahisi kila unalifanya wenzio wanafanya....
umetisha mkuu!! ulivyoanzisha maada kama kweli una akili timamu au hauko emotional una tatizo mahali

jaribu kutulia utagundua hauko sawa...just go somewhere ongea kama ulivyoongea hapo juu!!.utaona watu wanakushangaa...hii ni katika kukusaidia...

wengine wamepita kimya kimya na kusema "ama kweli JF kuna majinga"
 
Acha upuuzi....Ali anatamba toka Dimond anaosha vyombo studio Bob Junior sasa utasemaje Ali anaishi kwenye kivuli cha Dimond au wewe mgeni mjini?!
 
Leo vijana wame post mnara wa Radio na TV wakatia caption iliyokuwa inasema “Tukutanekazini”
 
hebu tupe bifu moja tu la alikiba aliloanzisha na diamond ,,mimi nitakupa bifu mbili alizoanzidha diamond kwa minajili ya kiki
 
wewe mpumbavu alikiba alianza kabla diamond hajajichora chora, wala tandale hafahamiki. nyau wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…