Ali Kiba anastahili kuitwa king wa bongo flavour kiukweli

Ali Kiba anastahili kuitwa king wa bongo flavour kiukweli

Obadiahmayunga

Senior Member
Joined
Sep 19, 2014
Posts
163
Reaction score
109
jamani nimeanza kusikiliza hits za ali kiba mwaka 2002 nikiwa darasa la nne na mr blue mpakaleo hii nina MSC and family either these guy deserve their kingdom hakuna msaa ambaye ame maintain kama hawa hapa bongo more than 15 years on the game kwenye midomo ya watu jamani we are to accept the reality the flavour ni ya hawa watu halafu ali kiba hajawahi kutoa song isiwe hit haijawahi tokea nadhani mtakuwa mnaelewa povu la omo ruksa guys ila ukweli mnaujua

NOTICE:ali kiba naomba uzirudie hits zifuatazo kaka(i mean refurbishment)
mapenzi yana run dunia
my everything
mac muga
karim
to mention few
 
jamani nimeanza kusikiliza hits za ali kiba mwaka 2002 nikiwa darasa la nne na mr blue mpakaleo hii nina MSC and family either these guy deserve their kingdom hakuna msaa ambaye ame maintain kama hawa hapa bongo more than 15 years on the game kwenye midomo ya watu jamani we are to accept the reality the flavour ni ya hawa watu halafu ali kiba hajawahi kutoa song isiwe hit haijawahi tokea nadhani mtakuwa mnaelewa povu la omo ruksa guys ila ukweli mnaujua

NOTICE:ali kiba naomba uzirudie hits zifuatazo kaka(i mean refurbishment)
mapenzi yana run dunia
my everything
mac muga
karim
to mention few


Tutajie mwaka 2002 Kiba aliimba wimbo gani?
 
2002 Ali Kiba alikuwa hayumo kwenye list ya waimba Bongo Fleva usitake kutulisha matango pori, nimeanza kuwa na wasiwasi na hata hilo darasa lako la 4, usije kuwa kama Bashite.

Tutajie mwaka 2002 Kiba aliimba wimbo gani?
2002/2003 tayari alikuwa an ngoma inaitwa Kuteseka aliimba na Dully Sykes...haikuhit kufikia kiwango cha juu, ila toka wakati huo nilishampitisha kwamba ni msanii mwenye uwezo wa juu kabisa!
Hata alipokuja kutoa album yake ya Cinderella, Kuteseka ndio wimbo ulionichagiza kununua ile tape...

Kwa kifupi jamaa ni zaidi ya Msanii, Cinderella album wengine ndio imetufanya tuwe mashabiki waamifu kwake mpaka leo...

Nyimbo kama Yatima, Nichum, Sabrina, Sikuoni na Njiwa ni nyimbo zinazoishi siku zote!!
 
Mwaka 2002 Clouds FM ilikuwa inapatikana town tu, concerts zilikuwa zinafanyika pale Pool Side, Kilimanjaro Hotel. Wasanii waliokuwa wanapanda stage ni Juma Nature kabla TMK, Inspekta Haroun, Unique Sisters, Solo Thang, Daz Nundaz, Jide mwenyewe alikuwa na single 2, huyo Ali Kiba alikuwa hajulikani ni kituko gani. Chezea mwaka 2002.
 
9af397f360b10b0363f98549e6afca67.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom