Ali Kiba anastahili kuitwa king wa bongo flavour kiukweli

Alieitambulisha bongo flavor ni crazy t, na wimbo wake wa angwisa 1998, akimshirikisha Sara. Huyo ndio apewe ukingi, na sio mondi wala kiba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umemsahau dully sykes, zay b, prof jay, biko, king sepeto, enzi hzo fiesta inaitwa summer jam, kina balozi, mr 2,gwm,big dog pose, suma g

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuuuu unatudanganya mkuu unamsikiliza toka 2002 ????? Acha kudaganya watu wew... Kiba alianza kusikika 2006 na ndipo 2007alitoa albam yake ya kwanza Cinderella....tuambie ni nyimbo gani ulikuwa unasikiliza kutok a kwa kiba 2002 labda sizijui mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Mwacheni kakoma huyu
 
Ali kiba alianza kusikika sana kwenye ngoma ya Abby skillz ya Maria kabla ya hapo ngoma zake hata air time hazikupata

Samsung S8
 
Mtu una Masters hata punctuation kwenye sentence hujui.Hauna cha herufi kubwa wala coma au nukta.Sijui ni Elimu yetu au ni vichwa vyetu wenyewe.
 
Haswa hiyo mapenz yanarun dunia ni hatari aifanyie official video kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Bushman akacheze na matembo yake tu na mitamasha yake ya kishamba!Yeye anatafuta umaarufu mwenzake anatafuta vyote!Btw bushman hata chibuku tu imemshinda kumwingizia mtonyo?
 
Hapo naijua tuu Sinderela tena ilisemekana alimuibia Mb Doggy.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…