Ali Kiba asaini mkataba na Sony Music, South Africa

Good to go. Ila asome vizuri hiyo mikataba kaburu sio ntu.
 
Tunaomba wataalam mutuelimishe hivi uki sign na label kama Sony ina maana gani??
Kuwa kwenye label kubwa kama Sony kuna faida zake kv kunatoa uwezekano wa kazi za msanii kuwa widely promoted!

Tatizo Sony Music siku hizi wazinguaji sana kwahiyo hata huyo Kiba anatakiwa kukaza na asidhani ameshafika vinginevyo anaweza kujikuta anaharibikiwa zaidi kv atalazimika kuwa bound na mikataba isiyovunjika kienyeji kama ile na ya akina Ustaadh Msoma!

Kwa mara ya kwanza Tanzania Sony walimsainisha Rose Mhando lakini hamna chochote cha maana ambacho walifanya nae.
 
Habari nzuri kwake na kwa mashabiki wake,lakini ijulikane pia yeye si wa kwanza kwa Bongo kusaini huko Sony Music na wao hawana jipya sana zaidi ya juhudi zako na si vinginevyo.
 
so??point yako haswa ni nin?


point yake ni kwamba Alikiba sio wa kwanza kusaini Sony music kama hiyo taarifa ilivyosema , ni sawa na kusema Diamond ni msanii wa kwanza kushoot video na Godfather wakati si kweli komando Jide alishafungua utepe kitambo....umeelewa?
 
point yake ni kwamba Alikiba sio wa kwanza kusaini Sony music kama hiyo taarifa ilivyosema , ni sawa na kusema Diamond ni msanii wa kwanza kushoot video na Godfather wakati si kweli komando Jide alishafungua utepe kitambo....umeelewa?
kwani aliesema ni wa kwanza nani??
 
kwani aliesema ni wa kwanza nani??


Just a few weeks after Davido signed a major deal with Sony Music, ROCKSTAR4000 is proud to announce that Alikiba will be the second major African artist signing with the prestigious label and will also be the first from East Africa.


au lugha inakupiga chenga?
 
unajua maana ya "major"?
 
unajua maana ya "major"?

kwahiyo Rose Muhando alisaini small deal? hebu ficha upumbavu wako...Alikiba ni namba 2 kusaini hiyo lebo baada ya Mhando Kwa hapa east Africa .....tena si hao tu kuna mwimbaji mwingine gospel wa Kenya emi kosgei alisainishwa sonny pia
 
kwahiyo Rose Muhando alisaini small deal? hebu ficha upumbavu wako...Alikiba ni namba 2 kusaini hiyo lebo baada ya Mhando Kwa hapa east Africa .....tena si hao tu kuna mwimbaji mwingine gospel wa Kenya emi kosgei alisainishwa sonny pia
kama unaelewa maana ya hii sentesi haina haja ya kuendelea na mabishano
"second major artist to sign"
 
Hyo Sony Africa chris b hayumo....Nakaaya sumari alimtangulia Kibatembo leo yupo wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…