Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Habari zilizoripotiwa na clouds kwenye page yao ya Instagram wanasema usiku wa kuamkia leo majambazi yamevamia nyumbani kwa Alli - Kunduchi, na kukomba kila kitu. Kwa bahati Nzuri, Kiba hakuwepo nyumbani kwake usiku huo!
Pole sana kijana, Mtanzania mwenzetu!!
Diamond chukua tahadhari; leo kwa Kiba, kesho kwako, imarisha ulinzi nyumbani kwako!
Pole sana kijana, Mtanzania mwenzetu!!
Diamond chukua tahadhari; leo kwa Kiba, kesho kwako, imarisha ulinzi nyumbani kwako!